Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

hayo mengine yanaeleweka ila kuzalia nyumbani ni tatizo
 
hayo mengine yanaeleweka ila kuzalia nyumbani ni tatizo
Hili suala la kuzalia nyumbani ni pana kidogo

Utakuta kijana wazazi wake wanempa chumba cha uani aendelee na maisha yake ajipange mdogomdogo. Wengine wanaamua kuvuta kabisa wanawake wa kufanya nao maisha na kuwazalisha hapohapo kwao. Au anamtia mimba binti wa watu inabidi aanze kuishi naye hapohapo

Wengine ndio hivyo katia mimba binti wa watu ambaye naye maisha yao choka mbaya. Bibi upande wa baba anaamua kuishi na mjukuu wake na kijana naye humohumo katika visa fulani hadi mama ya mtoto naye anaishi hapohapo

Kuna life fulani Dar unaweza kusema ni kama watu wanaigiza kumbe ndo maisha halisi yanaenda hivyo
 
Kwani ilani ya CCM inasemaje kuhusu hili suala mtambuka
 
Vjana
Vijana wengi wazawa wa dar wanawaza kuzamia tu bondeni kwa madiba😀😀😀😀
 
Kumbe kama huwezi tafuta maisha Mkoani Toka kwenu tafuta hapo hapo.

Mnakutana na Akina baba legelege na malofa,kukutimua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…