Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

Kama ambavyo wengi walitoka mikoa mingine na kuhamia dar, waliziona fursa wakivyokuja dar basi hawa wa dar nao waone namna ya kutafuta fursa kwingine.
Hiyo ilikuwa zamani,hakuna anaetoka Mkoani Kwa Sasa kuja Dar kufanya nini kwanza?

Enzi zile Mkoani hakuna Barabara,hakuna umeme,hakuna Maji wala Huduma za Afya ndio tulikuja Dar.

Leo CT Scans ziko Wilayani nije Dar kufanya nini? Umeme uko Kijijini huko,Barabara zipo nk uje Dar utakuwa kichaa maana kila kitu Sasa kinafanyika Mkoani.

Utalima Dar?
 
Kumbe kama huwezi tafuta maisha Mkoani Toka kwenu tafuta hapo hapo.

Mnakutana na Akina baba legelege na malofa,kukutimua?
Screenshot_20240123_215215_Chrome.jpg
 
Habari zenu,

Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.

Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.

Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k

Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.

Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.

USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.

NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.

Written by Mjanja M1.
Wazee walioko Bado kwenye nafasi na umri hauruhusu wawaachie vijana jmn, mtaani hakufai
 
Habari zenu,

Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.

Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.

Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k

Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.

Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.

USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.

NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.

Written by Mjanja M1.
Ila mkuu sio kila anaekaa kwa wazazi basi amekata tamaa ya kuwa na makazi binafsi ama ameshindwa fanya hilo.
Mimi ni mmoja wa vijana ninaoishi kwetu na nina mke pia ila mtoto bado.
Ila najimudu na kuisaidia familia yangu.
Familia zingine zina tamaduni tu ya kuishi pamoja haswa familia ikiwa na wanafamilia wachache.
Mpaka sasa wazee hawaridhii mimi kuenda kuishi pekeangu.
 
Hiyo ilikuwa zamani,hakuna anaetoka Mkoani Kwa Sasa kuja Dar kufanya nini kwanza?

Enzi zile Mkoani hakuna Barabara,hakuna umeme,hakuna Maji wala Huduma za Afya ndio tulikuja Dar.

Leo CT Scans ziko Wilayani nije Dar kufanya nini? Umeme uko Kijijini huko,Barabara zipo nk uje Dar utakuwa kichaa maana kila kitu Sasa kinafanyika Mkoani.

Utalima Dar?
Nchi huru hii, kila mtu aamue wapi aishi. Huduma muhimu hata Dar tu hazijakaa sawa, iwe huko vijijini..
 
Ila mkuu sio kila anaekaa kwa wazazi basi amekata tamaa ya kuwa na makazi binafsi ama ameshindwa fanya hilo.
Mimi ni mmoja wa vijana ninaoishi kwetu na ni mke pia ila mtoto bado.
Ila najimudu na kuisaidia familia yangu.
Familia zingine zina tamaduni tu ya kuishi pamoja haswa familia ikiwa na wanafamilia wachache.
Mpaka sasa wazee hawaridhii mimi kuenda kuishi pekeangu.
Wahindi, Waarabu na utajiri wao wote wanakaa na watoto wao hadi wajukuu. Sisi mtu akipata hela ya chumba tu wanataka afukuzwe nyumbani.
 
Ila mkuu sio kila anaekaa kwa wazazi basi amekata tamaa ya kuwa na makazi binafsi ama ameshindwa fanya hilo.
Mimi ni mmoja wa vijana ninaoishi kwetu na ni mke pia ila mtoto bado.
Ila najimudu na kuisaidia familia yangu.
Familia zingine zina tamaduni tu ya kuishi pamoja haswa familia ikiwa na wanafamilia wachache.
Mpaka sasa wazee hawaridhii mimi kuenda kuishi pekeangu.
Kweli kuna vijana wanaishi kwao ila wao ndo backbone ya familia hiyo kiuchumi au kiulinzi, inategemea mchangobwa mhusika.
 
Nchi huru hii, kila mtu aamue wapi aishi. Huduma muhimu hata Dar tu hazijakaa sawa, iwe huko vijijini..
Huko mnakoogelea kwenye mataputapu ya matope na Mafuriko?

Huko mlikorundikana kama manyumbu?

Wewe ishi huko huko ila Kwa Sasa hakuna anaehama Mkoani eti anakuja Dar.Dar utachimba Madini na kulima?

Dar utapanda parachichi? Ni punguani tuu ndio anaweza Wazazi kuja kutafuta maisha Dar.

Mwisho Huduma zipo za kutosha kuanzia private Hadi government
 
Huko mnakoogelea kwenye mataputapu ya matope na Mafuriko?

Huko mlikorundikana kama manyumbu?

Wewe ishi huko huko ila Kwa Sasa hakuna anaehama Mkoani eti anakuja Dar.Dar utachimba Madini na kulima?

Dar utapanda parachichi? Ni punguani tuu ndio anaweza Wazazi kuja kutafuta maisha Dar.

Mwisho Huduma zipo za kutosha kuanzia private Hadi government
Kila mtu aishi anapoona panamfaa, usipangie watu wapi pa kuishi. Huduma zipi hizo wamama wanapangwa wodini hadi wanalala chini kuna huduma au hujuma? Shule ina watoto mia tano waalimu wawili hizo ndio huduma unazosemea?

Hii nchi bado sana kwenye huduma za jamii, bado sana!!
 
Habari zenu,

Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.

Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.

Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k

Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.

Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.

USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.

NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.

Written by Mjanja M1.
Wacha waishi mzee acha kuhumia na wrw kaishi kwa wazaz wako
 
Hawa vijana muwaonee huruma wana stress sana wengi hawapendi kubaki kwao wanalazimika

Kuna vijana tangu wamalize vyuo hawana mishe za maana hivyo hata kwenda kupanga anaona kodi zitamtesa na akizingatia kwao kuna vyumba/chumba

Wengi unakuta walisoma seko mpaka chuo ila hawana ujuzi wowote wa VETA wanategemea magamba yao ya vyuo. Mitaji ya biashara hawana familia maisha ya kuungaunga.

Wengine wamejiongeza kuwa boda au winga K/koo, udalali n.k

Wanaumia sana wanapoona wenzao waliosoma nao wakiwa wana mishe. Wao wakiamka asuhuhi hawajui waende wapi

Tusiwaseme sana vijana wa Dar ila wanachopitia Mungu mwenyewe anajua
Unajua Hawa wanao ongea sn ni wale ambayo alipata kazi, biashara au mishe inayomuongizia kipato,hajui mtaani kulivyo.
Hawezi elewa tuliomaliza chuo zaidi ya miaka 10 unahangaika no job ,no bness inayokupa chochote,tunashukuru tuna wazazi wanaojiweza !
 
Wewe ni binti, pressure ya maisha na maendeleo ni ndogo sana kwako as compared na vijana wa kiume. Kwanza unatakiwa kuchumbiwa ukiwa home, ina heshima yake, unless uhame mkoa, ila kama unapata kazi karibu na home utaishi home hadi itakapofahamika.
Mi nakula ugali wa shikamoo tu home hapa
Hao wachumba wenyewe siwaoni🤣
Mi sio binti ni shangazi according to Wana jf🏃🏃
 
Back
Top Bottom