Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

Siwezi kwenda kupanga wakati nyumba ya wazazi ipo apo nitaendelea kukaa huku najipanga nawasaidia na wazazi nikitoka apo naenda ktl kibanda changu
 
kama wazazi wako wako happy kukaa nyumbani sawa, familia zetu hizi wazazi wakikuona unakaa kwao wanaanza kukusimanga na kukunyanyasa, inabidi uhame tu kwa lazima
 
''USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.''
Ushauri uliotoa ni ushauri wa ''typically Tanzanian mindset''. i.e ufinyu wa kujua tatizo letu na suluhisho lake.
 
Milion nane ni bei ya kiwanja huku kijijini kwetu,
Hiko kiwanja kina ukubwa gani?
Maana hiko cha mil 8 ni cha futi 10 kwa 15.Tena rural area huko kama unaelekea Kisarawe 2 ama Pemba mnazi.
Aya hicho cha mil 8 kijijini kwenu heka ngapi na eneo la urban ama rural?
 
Sio Dar tu ni Tanzania ukiacha kwa wamasai na kule wanakojenga nyumba za tembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…