Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

"Kanda Maalum Ya Polisi Dar Es Salaam" inahusika vipi na uhalifu (unaosemekana) wa mkoa mwingine, swala la kosa aliloitiwa Mh Tundu Lissu ni mkoa wa Mara na akatakiwa ku report Kilimanjaro.

Nchi yetu jeshi la polisi limekosa weredi kabisa, viongozi wanakurupuka na kujuamulia tu, hawajui "TERRITORIAL JURISDICTION/MAMLAKA YA KIENEO" yanakwenda vipi na yana nguvu gani.

Acha lissu awanyoishe hawa wenye vyeo vikubwa bila ya kuwa na elimu.
Kumchinja kobe kunataka timing!
 
Policcm is an idiots
"Chana na democrasia"[emoji16][emoji16][emoji16] Yaani hata aliepelekewa barua kusaini hakuisoma!
432090.jpg
 
Upinzani.. jaribuni lingine..
Dar na Kilimanjaro!!!!!! Mtajiju..

Magufuli 2020💯
 
Sifikirii kama hiyo ni barua kutoka jeshi la polisi
 
Huyu ndio T.Lissu. akili kubwa.
Navalny alikuwa mpinga rushwa na mtaka taratibu zifuatwe...Lakini baadaye ikaja kugundulika yupo kwenye orodha ya wanaolipwa na " magenge ya wafadhili vurugu ndani ya nchi" ulimwenguni kote!!! Mara kama mbili iligundulika alipokea maagizo kutoka kwenye genge hilo!!! Navalny mwanzoni alionekana shujaa wa wapenda haki na mwenye 'Akili kubwa'. Navalny ni binadamu pia Lissu ni mtu!
 
Back
Top Bottom