Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Mpaka wewe unashangaa jeshi lilivyopwaya na kukosa weledi !!!Sifikirii kama hiyo ni barua kutoka jeshi la polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka wewe unashangaa jeshi lilivyopwaya na kukosa weledi !!!Sifikirii kama hiyo ni barua kutoka jeshi la polisi
Kumchinja kobe kunataka timing bwashee!John, nini maoni yako ?!
Kwani RPC wa Kilimanjaro alimuandikia Lisu barua? IGP Siro na hao wa Kanda maalum ndiyo walijitia kimbelembele."Kanda Maalum Ya Polisi Dar Es Salaam" inahusika vipi na uhalifu wa mkoa mwingine, swala la kosa aliloitiwa (Japo halijatajwa) Mh Tundu Lissu ni mkoa wa Mara na akatakiwa ku report Kilimanjaro.
Nchi yetu jeshi la polisi limekosa weredi kabisa, viongozi wanakurupuka na kujiamulia tu anachojisikia, hawajui "TERRITORIAL JURISDICTION/MAMLAKA YA KIENEO" yanakwenda vipi na yana nguvu gani kisheria.
Mambosasa anatakiwa afanye kazi kulingana na "TERRITORIAL JURISDICTION" ya eneo lake, eneo lake na mamlaka aliopewa kisheria ni ya Kanda Maalum Ya Dar Es Salaam, hana mamlaka kisheria ya kuingilia maswala ya kikazi ya mikoa mingine. Aache kukurupuka kwani atalinajisi jeshi la polisi kuonekana halifuati sheria na mamlaka.
Barua ingekua imetokea "MAKAO MAKUU YA POLISI" raia tusingekua na pingamizi, kwasababu makao makuu ya polisi wana mamlaka ya mikoa yote kisheria. Ila barua inatoka "KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM". Kwa hilo watuache.
Acha lissu awanyooshe hawa vibwengo wenye vyeo vikubwa bila ya kuwa na elimu ya kukidhi matakwa ya kazi yao. Nchi inaendeshwa na kikundi cha watu wachache wanaojiamulia mambo bila kufuata sheria, wanatumia mamlaka na mabavu, ila sio sheria wala haki.
Au lasivyo wakiachiwa, kesho tutasikia Mhalifu amefanya kosa la Kubaka Morogoro halafu Jeshi La Polisi Mkoa Wa Kigoma limetoa barua ya kuachiliwa mara moja mhalifu huyo.
Wanakula mabanzi kutoka kila kona ya dunia hii!View attachment 1587868
Amani ni zao la haki....hakuna Amani bila haki
Kura kwa Lissu!Navalny alikuwa mpinga rushwa na mtaka taratibu zifuatwe...Lakini baadaye ikaja kugundulika yupo kwenye orodha ya wanaolipwa na " magenge ya wafadhili vurugu ndani ya nchi" ulimwenguni kote!!! Mara kama mbili iligundulika alipokea maagizo kutoka kwenye genge hilo!!! Navalny mwanzoni alionekana shujaa wa wapenda haki na mwenye 'Akili kubwa'. Navalny ni binadamu pia Lissu ni mtu!
Hata barua ya wito hakuandika Sirro!Isije ikawa ni fake. Maana amri katoa Sirro usitishaji atamke Mambosasa. Hii imekaaje?
Itakuwa ni fake
Sasa asingeipokea haya madubwasha tungeyaona wapi?"Chana na democrasia"[emoji16][emoji16][emoji16] Yaani hata aliepelekewa barua kusaini hakuisoma!View attachment 1587852
kama nime elewa vizuri wito bado uko pale pale ila anatakiwa kuripoti mkoa wa kipolisi Kilimanjaro, na hii ni Zaidi ya ngonjera ya policcm
Lissu ni mtu, wewe je !?... kwa Lissu!
Imagine barua muhimu kama hii anaandika secretary halafu hakuna mtu mwingine anaeipitia kuangalia kama ina makosa!Yaani barua anaandika msaidizi wa ofisi halafu anapelekewa boss kusaini halafu boss anasaini tu bila hata ya kuisoma yaani!Jeshi la polisi linatakiwa likaguliwe vyetiSasa asingeipokea haya madubwasha tungeyaona wapi?
Jeshi la polisi hapo nawapongeza sana kwa kuweka busara mbele. IGP Sirro acha kumtetea Magufuli anayevunja sheria ovyo kwa kutukana na kutishia wananchi kuwa hatawaletea maendeleo wakimchagua mtu asiye wa CCM. Hivi NEC hamuoni hili kama ni kosa???? NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA BUSARA MLIYOONYESHA. Bado huyo DPP anayefungwa watu wasio na makosa kwa sababu ya chuki aliyonayo juu ya CHADEMA.
Linazidi kukosa thamani na heshima mbele ya watanzania!jeshi ambalo wanachi waliishalichukulia ni la hovyo halijali hizi filimbi.
wewe ndio utaona unaliabisha,wakati wenyewe hata habari hawana.
Ebu rudia labda sijakusoma vemaamesha shindwa