Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

Linazidi kukosa thamani na heshima mbele ya watanzania!
Yaani mpaka watu wakiwaona polisi wanajua ni watu wa mabavu wasio na akili!

thamani ya polisi iko wakati wa shida tu.duniani kote.

ndio maana huwa hawaihangaikii.juzi lissu kawaita wajinga,siku akitiwa jiwe atauliza polisi mliniacha navamiwa.
 
[emoji2]
Jamani narudia tena Lissu sio Slaa, Lissu sio Lowasa Lissu sio Mbowe,
Sometimes tusifurahie Sana kwasabb hawa policcm wanaweza kuja na mbinu nyingine ya kumkamata lissu,hii ishu pengine ni danganya Toto
 
"Chana na democrasia"[emoji16][emoji16][emoji16] Yaani hata aliepelekewa barua kusaini hakuisoma!View attachment 1587852

Hivi kweli huyu Wambura naye ina maana alisaini tu barua hii bila kuisoma ili aone iko sawa au la?

Basi ofisi ya upelelezi kanda maalumu DSM ya ndugu C.P. Wambura ina personal secretary mzembe sana asiyejua kazi yake...!!
 
Kwa kua washaanza kulegea wala hatutalipa kisasi kitu pekee tutataka Magufuli atubu dhambi zake kanisani inatosha.
20201002_113724.jpg
 
MATOKEO MPAKA SASA

Lissu 3-0 Polepole
Lissu 3-0 Magufuli
Lissu 3-0 CCM
Lissu 3-0 NEC
Lissu 3-0 Msajili
Lissu 3-0 Kamanda Zirrro
Lissu 3-0 Ma mboo_sasa
Lissu 3-0 Policcm
Baada ya tarehe 20 oktoba matokeo.

Magufuli 79% vs Lisu 19%

Nafikiri mpaka hapo umeona nani ni mjanja.
 
Ccm mmepoteza uhalali wa kuongoza nchii hii, nchi imekuwa ikiongozwa Kwa chuki, vitisho, na visasi no rule of law at all awamu hii
 
Huyu ndio beberu wa Lisu!

Mwambie baada ya oktoba ajiandae kumpkea baby wake
Ninyi mna utundio wa ubongo,inawezekana vipi watu ambao ndiyo huwa mnawategemea katika huduma za maji,umeme,afya,barabara,etc mnawakejeli kuwa ni mabeberu?!Yaani budget ya nchi zaidi ya asilimia 60 inategemea misaada kutoka kwa wazungu halafu mnawaita ni mabeberu!

Yaani wazungu wakiamua kusema leo kuwa waache kuisaidia Tanzania maana yake ni hakuna maji,umeme,barabara,afya,etc.Sasa hebu leo niambie watu wa namna hiyo inawezekana vipi mnawakejeli kuwa ni mabeberu?!Huu kama siyo mtindio wa ubongo ni nini?
 
thamani ya polisi iko wakati wa shida tu.duniani kote.

ndio maana huwa hawaihangaikii.juzi lissu kawaita wajinga,siku akitiwa jiwe atauliza polisi mliniacha navamiwa.
Ni kazi yao kulinda raia na mali zao!Sasa hawa wa kwetu wanageuka kituko baada ya wao kuwa waanzilishi wa fujo na taharuki kwa kupiga mabomu hovyo au risasi!
Akwilina amgekuwa hai leo kama jeshi lingekuwa linatumia weledi wakati wote!Lakini hiyo go ahead waliyopewa na Magufuli ndio chanzo cha wao kujitoa ufahamu!Yaani mpaka Rais anaongea kwa jazba "i wish i could be IGP",nadhani wale wanakwaya wa Gwajima waliokuwa wanaimba nje ya kituo cha polisi kuna ambao wangekuwa na vilema!Nguvu tembo huku tatizo ni saizi ya siafu!
 
Back
Top Bottom