johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kumchinja kobe kunataka timing!"Kanda Maalum Ya Polisi Dar Es Salaam" inahusika vipi na uhalifu (unaosemekana) wa mkoa mwingine, swala la kosa aliloitiwa Mh Tundu Lissu ni mkoa wa Mara na akatakiwa ku report Kilimanjaro.
Nchi yetu jeshi la polisi limekosa weredi kabisa, viongozi wanakurupuka na kujuamulia tu, hawajui "TERRITORIAL JURISDICTION/MAMLAKA YA KIENEO" yanakwenda vipi na yana nguvu gani.
Acha lissu awanyoishe hawa wenye vyeo vikubwa bila ya kuwa na elimu.
"Chana na democrasia"[emoji16][emoji16][emoji16] Yaani hata aliepelekewa barua kusaini hakuisoma!Policcm is an idiots
Tunatarajia mpaka kufika jioni IGP Simon Sirro atakuwa amekwisha kabidhi barua ya kujiuzulu .
I agree with youTunatarajia mpaka kufika jioni IGP Simon Sirro atakuwa amekwisha kabidhi barua ya kujiuzulu .
Policcm katika ubora wao🤣🤣🤣
...ila ile ya "Chana" Cha "Democrasia" na Maendeleo ni ya kutoka police Tanzania?Sifikirii kama hiyo ni barua kutoka jeshi la polisi
Why?Tumia kiswahili we Mziba.
Kweli Kabisa!Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Navalny alikuwa mpinga rushwa na mtaka taratibu zifuatwe...Lakini baadaye ikaja kugundulika yupo kwenye orodha ya wanaolipwa na " magenge ya wafadhili vurugu ndani ya nchi" ulimwenguni kote!!! Mara kama mbili iligundulika alipokea maagizo kutoka kwenye genge hilo!!! Navalny mwanzoni alionekana shujaa wa wapenda haki na mwenye 'Akili kubwa'. Navalny ni binadamu pia Lissu ni mtu!Huyu ndio T.Lissu. akili kubwa.
Kinyonge kabisa😁!Ni jambo jema!
Maendeleo hayana vyama.