Usilolijua ni kama usiku wa giza!Najichomea ili nipate public sympathy ya kukushughulikia, nazan GSM ame activate mambo yake yake aliyostaafu
Msimsingizie!Bashite unajua ulichokianzisha ???
Siongei mengi lakini Bashite ujipange
Una maanisha!!!?Bashite unajua ulichokianzisha ???
Siongei mengi lakini Bashite ujipange
Mkaldanyo niajeZero brain f@t@$$ kufanya yake
Yale magodoro sio mzee, bora mkeka mara 100Wakuu kama kuna yeyote kafanikiwa kuchomoka na godoro la kuanzia inchi 10 la 5*6 anicheki.
Sasa bashite akishughulikiwa we unaumia niniKiwanda kimewaka moto wakati beef linaendelea
Kuna mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia,
Hii nadhani ni mchezo wa akili ionekane Bashite kachoma iwe rahisi kumtupia lawama kwa ushahidi ambao tayari ulishaandaliwa
Mtuhumiwa wetu tunamjua,moto tutazims ils tutaulizana vzrKiwanda cha magodoro cha GSM chawaka moto pale Mwenge/Mikocheni Viwandani Walaya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Moto umeanza asubuhi hii muda wa saa 12:30 ya leo Jumapili Machi 13, 2022.
Chanzo cha Moto bado hakijafahamika.
View attachment 2148567
Sasa hivi nalalia zulia na ninaipata fresh mzeeYale magodoro sio mzee, bora mkeka mara 100
Ujambazi ulikomeshwa au alizalisha mauambazi aliowataka yeye??sema alizalisha majambazi wapya wenye roho mbaya zaidi ya aliowakutaTangu bi mkubwa aliposema tule kwa urefu wa kamba zetu ndo hadi haya yanatokea. Maana kila mmoja anapambana survival for fittest.
Enzi za jpm ujambazi ulikomeshwa licha ya wakosoaji wake kupotezwa au kubanwa kwa kesi za ajabu ajabu. Bashite anatamani yale makonteina yake ya enzi zile yangekuwa zama hizi angeupiga mwingi.
Mbona alionekana eneo la tukioMakonda hana ubavu wa kufanya hayo msimkweze msimuonee.
Suspect No.1