denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Utakuwa ni mchezo unaochezwa na wale waarabu wajanja kutengeneza tukio katikati ya mgogoro wao na Makonda.
Yote ni kuendelea kutafuta public sympathy kwa mashabiki wa timu yao, kwa hili sidanganyiki.
Wanachoma kudanganya watu huku wakijua bima wanayo watalipwa.
NW wa Ardhi Kikwete hafai kabisa kuwa msuluhishi kwenye huu mgogoro, kuna conflict of interest hapa.
Yote ni kuendelea kutafuta public sympathy kwa mashabiki wa timu yao, kwa hili sidanganyiki.
Wanachoma kudanganya watu huku wakijua bima wanayo watalipwa.
NW wa Ardhi Kikwete hafai kabisa kuwa msuluhishi kwenye huu mgogoro, kuna conflict of interest hapa.