kuna uchochezi wowote umeuona hapo? kwahiyo tukiumwa homa watu kumi tukaushe tusisemeAcha uchochezi.
Kwanza ingekuwa ni covid macron kila mji dar ingekuwa na msiba.
Haya ni mabadiliko ya hali ya hewa. Tumepigwa Jua muda mrefu ghafla mvua kubwa lazima makoo yayumbe.
pole sana ndugu yanguNilikotoka watu kibao tunaumwa tena wengine wakienda pima hawakutwi na ugonjwa. Mama alikuwa anaumwa ila yeye kakutwa na malaria. Kila mtu analalamika kivyake mimi mwenyewe niko hapa nipate dawa maana usiku hali inakuwa teteView attachment 2046184
kwenye uzi wangu "kila mtu" ndo ina ukakasi ni kweli, mniwie radhi. Ila haiondoi uhalali wa content kufanyiwa utafiti. Asilimia kubwa ya watu nilio kutana nao wote wana same case, same scenario.Kusema kila mtu Dar anaumwa mafua ni Uongo sema baadhi huko kwenu
Umewapima saa ngapi watu wote Dar kuwa wanaumwa mafua? Mleta mada muongo wa kutupwa