Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar Center!Hiyo dar ambayo kila mtu anaumwa mafua ni dar ipi. Au Dareda ?
Mleta mada amerithi uongo wenu "wana chama cha majambazi".Kusema kila mtu Dar anaumwa mafua ni Uongo sema baadhi huko kwenu
Umewapima saa ngapi watu wote Dar kuwa wanaumwa mafua? Mleta mada muongo wa kutupwa
Huyo mleta mada ni Chadema mwanzo mumegeukana?Mleta mada amerithi uongo wenu "wana chama cha majambazi".
Uongo wa data mpaka uongo wa ndani ya nyumba za ibada.
Kama kwenda hospitali unaona shida nenda pharmacy nunuwa Amplyclox na paracetamol kunywa.Toka Jana sijielewi koo linauma dizain kam matonses hivi kifua kinabana kweli
Asante kiongoziKama kwenda hospitali unaona shida nenda pharmacy nunuwa Amplyclox na paracetamol kunywa.
Uandishi wako ni wa kijinga sana.Uko sahihi kwa asilimia 60. Kuna ongezeko kubwa la wagonjwa wa mafua, kifua na homa. Mimi ni mmoja wao tangu jtatu. Jana nimepima Mrdt, Fbp, na unalysis sikuwa na ugonjwa wowote. Najua watu zaidi ya 10 wamekuwa na shida kama yangu. Jamaangu yupo hosiptal amenipa taarifa hiyohiyo.
apa ##$ hapaNiko bunju apa na utimamu wa mwili
nn ### niniMe mwenyewe leo nimeamka koo linawasha,kichwa kinauma na kahoma flani hivi.
Ni nn hii?
maralia ### malariaNimetoka hospitali jana nilihisi maralia..kumbe wala madaktari wanaelewa hii situation...
nunuwa #### nunuaKama kwenda hospitali unaona shida nenda pharmacy nunuwa Amplyclox na paracetamol kunywa.
Unawashwa umekuja JF kutafuta basha siyo?Uandishi wako ni wa kijinga sana.
jtatu, unalysis ( ndio nini).
Mrdt,Fbp (ndio nini).
Unadhani wote humu ni wataalamu wa tiba katika zahanati za vijijini kwenu huko Mwamire na Galapo?
Andika kwa ufasaha/lugha nyepesi ueleweke.
Bong'owa.🖕nunuwa #### nunua