Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
kwashakoo!Me mwenyewe leo nimeamka koo linawasha,kichwa kinauma na kahoma flani hivi.
Ni nn hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwashakoo!Me mwenyewe leo nimeamka koo linawasha,kichwa kinauma na kahoma flani hivi.
Ni nn hii?
urinalysisUnawashwa umekuja JF kutafuta basha siyo?
Ni lini vipimo vya maabara vinaandikwa kwa kiswahili? Pumbavu kabisa kenge wahed.
Unalysis huwezi kujuwa kama ni kipimo cha mkojo?
Kima wahed.
Kwa matusi hujambo[emoji3][emoji3]Unawashwa umekuja JF kutafuta basha siyo?
Ni lini vipimo vya maabara vinaandikwa kwa kiswahili? Pumbavu kabisa kenge wahed.
Unalysis huwezi kujuwa kama ni kipimo cha mkojo?
Kima wahed.
Uko vizuri kwa matusi,hongera sana [emoji38][emoji38]Bong'owa.[emoji867]
Jua lililowaka mwezi wa Novemba lilikuwa kali sana kwaio haya ndio madhara yake ila waliokuwa wanakunywa maji mengi hawajapa tabu kama hiyo pia kungekuwa na mlipuko wa ugonjwa tungejulishwa na vyombo husika tuwe wavumilivu pia tumuombe Mungu.Takribani kwa muda wa wiki moja tangu tarehe 10 Desemba 2021, kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu wakaazi wa Dar es Salaam, wamekumbwa na hali ya homa sambamba na kupata mafua na kikohozi,
kila mtu analalamika kwa namna yake, Mimi juzi nimekumbwa na hii homa nikahisi nina malaria ila ni kwamba kila ninae kutana nae analalamika kikohozi na mafua. Waziri wa Afya upo? mbona haukuoni? mbona hatukusikii?