Dar: Kuna Tatizo la watu Homa na Mafua, Wizara ya Afya ipo kimyaa..

Dar: Kuna Tatizo la watu Homa na Mafua, Wizara ya Afya ipo kimyaa..

Unawashwa umekuja JF kutafuta basha siyo?

Ni lini vipimo vya maabara vinaandikwa kwa kiswahili? Pumbavu kabisa kenge wahed.
Unalysis huwezi kujuwa kama ni kipimo cha mkojo?

Kima wahed.
urinalysis
 
Unawashwa umekuja JF kutafuta basha siyo?

Ni lini vipimo vya maabara vinaandikwa kwa kiswahili? Pumbavu kabisa kenge wahed.
Unalysis huwezi kujuwa kama ni kipimo cha mkojo?

Kima wahed.
Kwa matusi hujambo[emoji3][emoji3]
 
Takribani kwa muda wa wiki moja tangu tarehe 10 Desemba 2021, kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu wakaazi wa Dar es Salaam, wamekumbwa na hali ya homa sambamba na kupata mafua na kikohozi,

kila mtu analalamika kwa namna yake, Mimi juzi nimekumbwa na hii homa nikahisi nina malaria ila ni kwamba kila ninae kutana nae analalamika kikohozi na mafua. Waziri wa Afya upo? mbona haukuoni? mbona hatukusikii?
Jua lililowaka mwezi wa Novemba lilikuwa kali sana kwaio haya ndio madhara yake ila waliokuwa wanakunywa maji mengi hawajapa tabu kama hiyo pia kungekuwa na mlipuko wa ugonjwa tungejulishwa na vyombo husika tuwe wavumilivu pia tumuombe Mungu.
 
Back
Top Bottom