Dar: Kuna Tatizo la watu Homa na Mafua, Wizara ya Afya ipo kimyaa..

Dar: Kuna Tatizo la watu Homa na Mafua, Wizara ya Afya ipo kimyaa..

Hata mimi sijachoma na siumwi hicho kilichoandikwa na nipo Dar, kutwa nzima nashinda kariakoo kwenye msongamano wa watu narudi home saa tatu au nne usiku
Hongera sana, ila ukiumwa uje utuambie, na uende hospitali
 
Watu wamepigwa na Jua weee wakapigwa na Joto kalii mnooo... Hawajakaa sawa mara ghafla wananyeshewa na Mvua ambayo hawakuitegemea. Sasa hapo unataka nini ten
 
Mimi nlikuwa naumwa kichwa sana natoka jasho then mwili unatetemeka hadi goose bumps ,ni kama ni sensor za mwili zilikata mawasiliano yan ilikua balaa, nikajihisi nimepata ngoma aisee, nilipanic saana kwasababu sio homa ambayo nimewahi ipata it's something new
ni hatari kabisa
 
Acha uchochezi.

Kwanza ingekuwa ni covid macron kila mji dar ingekuwa na msiba.

Haya ni mabadiliko ya hali ya hewa. Tumepigwa Jua muda mrefu ghafla mvua kubwa lazima makoo yayumbe.

Nani Kasema Ni covid macron? Unaona ulivyo mnaa
 
Sio wote tunasoma magazeti. Ishu burning kama hii sio ya kuandika kwenye magazeti tuu na kutulia. Enzi za mwenda zake mambo hayakuwa bubu hivi
Sasa kama husomi magazeti ambayo ndio chombo rahisi Cha habari unasoma nini ndugu yangu? Officially habari huwa zinapelekwa kwenye magazeti then media nyingine ndio wanaandika au kuripoti pia.

Kuhusu enzi za mwendazake naomba nisongelee wafu nahisi umeamua kulalamika kwa sababu unazozijua unless unataka kusema Magufuli alikuwa anapiga na gari la matangazo mtaani kwenu but nachojua it was the same tena yeye alikuwa hataki kuripoti ugonjwa nashangaa unasema Magufuli alikuwa anatangaza.
 
Ni kweli,nikiwa mmojawapo wa waliochanja,Tatizo watanzania sisi ni wabishi sana bila sababu za msingi.
wengi wa wanaopata mabadiliko ya tabia mwili ni wale waliokwishaanza mapunziko ya likizo kazini na wale ambao hawafanyikazi zakutumia nguvu, ila kwa tunaoendelea kufukuzana na muda tuko poa.
 
Hongera sana, ila ukiumwa uje utuambie, na uende hospitali
Mkuu niwe mkweli tu, tangu niumwe Malaria 2007 na kutumia mseto nilizoandikiwa Hospital sijawahi kuumwa tena malaria wala ndugu yake

Ila hizi homa ndogo ndogo zinazosababishwa na mafua huwa nazipata na hazidumu zaidi ya masaa 48
na huwa zinapona zenyewe tu situmii dawa wala nini

Na kama nilivyosema hapo nyuma vitu vinavyonisababishia mafua ni moshi wa sigara (sivuti ila nikikaa na mtu anayevuta sigara tu basi kesho yake nitaamka na mafua inayoambatana na homa ), vumbi ( sio la congo maana hamkawii ), Baridi/nikinywa maji ya baridi sana, uchafu wa shuka ( hapa nna shuka nyingi kama nguo za kuvaa ) na manukato/perfume zenye harufu kali ( nazo pia sielewani nazo ) pia feni likinipuliza sana mafua ni lazima
 
kwenye uzi wangu "kila mtu" ndo ina ukakasi ni kweli, mniwie radhi. Ila haiondoi uhalali wa content kufanyiwa utafiti. Asilimia kubwa ya watu nilio kutana nao wote wana same case, same scenario.
mimi bado siamini hata hilo swala la wewe kusema idadi kubwa ya watu uliokutana nao. bado ni uchochezi
 
Uko sahihi kwa asilimia 60. Kuna ongezeko kubwa la wagonjwa wa mafua, kifua na homa. Mimi ni mmoja wao tangu jtatu. Jana nimepima Mrdt, Fbp, na unalysis sikuwa na ugonjwa wowote. Najua watu zaidi ya 10 wamekuwa na shida kama yangu. Jamaangu yupo hosiptal amenipa taarifa hiyohiyo.
 
Unataka Waziri afanyaje?
Kwani wewe haujawahi kuumwa Mafua. Unataka Waziri akutangazie kirusi kipya cha Corona.

Hizi shule zikifungwa ni tatizo
 
Uko sahihi kwa asilimia 60. Kuna ongezeko kubwa la wagonjwa wa mafua, kifua na homa. Mimi ni mmoja wao tangu jtatu. Jana nimepima Mrdt, Fbp, na unalysis sikuwa na ugonjwa wowote. Najua watu zaidi ya 10 wamekuwa na shida kama yangu. Jamaangu yupo hosiptal amenipa taarifa hiyohiyo.
Piga nyungu jifukize utakuwa fresh tuu
 
The ball is in your court, take a jab or wait to kick the bucket
 
Takribani kwa muda wa wiki moja tangu tarehe 10 Desemba 2021, kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu wakaazi wa Dar es Salaam, wamekumbwa na hali ya homa sambamba na kupata mafua na kikohozi,

kila mtu analalamika kwa namna yake, Mimi juzi nimekumbwa na hii homa nikahisi nina malaria ila ni kwamba kila ninae kutana nae analalamika kikohozi na mafua. Waziri wa Afya upo? mbona haukuoni? mbona hatukusikii?
Hivi unapata wapi ujasiri wa kusema "kila mtu" wewe ni nani wewe???
Wewe ni Mungu? Acha upuuzi shenzi kabisa
 
Back
Top Bottom