DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Ataenda kujadiliana nao nin?1.5b ni pesa nyingi sana hio,tra wakifanya uzembe hapo magu anaweza akapita nao,,aliletaje mzigo bila kujua kama kuna msamaha au hakuna,,,hakuna namna hapo wacha nayeye aisome namba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uvccm[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] wengi tupo kwa ajili ya tumbo hayupo kwa ajili ya taifa na hakujali vizazi vyetu vitakuwa kuishi vip unafiki mwingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mtoa mada unauhakika gani kuwa vile vifaa vilikuwa vya kwa ajili ya msaada wa shule

Serikali ina mkono mrefu usikute pale kuna vifaa vya GSM
 
#May 18
"Hizo Habari hata mimi nazisikia kwa watu. Sina kontena wala sijaagiza kontena mimi" Paul Makonda, RC DSM.

UMESAHAU HIYO MKUU.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ubaya wa sheria ukianza kuipindisha kwa ajili ya mtu flani hapo ndo uta fail daima

kama kweli vifaa vinakuja kwa ajili ya misaada ya walimu kwann visiingizwe kwa jina la taasisi husika???

Leo yy ndo kawa wa kwanza kuomba misaada nje??

Rais mwenyewe haagizi kwa jina lake who is he mpaka yy awe special mpka sheria ipindishwe??

tukianza kuruhusu kwake viongoz wengne wakiiga mtalalamika??

hapa ndo hua naamini common sense is not common for everyone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu tu hawampendi makonda.. ila kuuza meza za walimu ni wehu
 
Wewe huwa pimbi Sana, unalalamika nini humu wakati kutwa unasifia serikali hii ya kishetani iliyosimikwa na Lucifa kutoka kuzimu,ni bora ukae kimya tu.
We ndo hati miliki ya kulalamika tu, unisamehe kukuingilia
 
Fuateni utaratibu kama ni vifaa kwaajili ya msaada kwanini vinatumwa kwa jina lako alafu hapo hapo unataka msamaha wa kodi. Kataaaaa nasema kataaa maneno mawili tu ka-ta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…