DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Huwa tunapoteza sana talents kwa sababu ya roho mbaya tulizonazo.

Mbwana Samatta asingekuwa na utulivu kichwani asingefika alipofika kirahisi tu. Angekatishwa tamaa na uswahili wetu.

Wale wachezaji wa Ufaransa wenye asili ya Afrika waliobeba kombe la dunia kule Moscow, wasingekuwa na msaada wowote ule kama wangekuwa wanachezea mataifa ya Baba zao.

Tuna matatizo sana sisi watu weusi, hakuna jema ambalo linaweza kufanyika na tukakiri kwamba hili jambo ni jema, sana sana tutakiri kinafiki yaani usoni tu na sio moyoni.
 
Makontena zaidi ya 800!!!!!!!!!?????? Sijui watu wanatoa wapi hela jamani
 
Huna habari ndiko aelekeapo

Jimbo la Ukonga linamngoja 2020



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi wamezoea kutulisha matango pori mchana kweupe na sie hatuna neno kabisa, tukishavimbiwa masikini wanatupa dawa ya maumivu.. Naipenda nchi yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu tujiulize thamani ya mchango wake kwa mkoa wa Dsm, unalingana na udhaifu wa makontena aliyoleta? Inawezekana hatupati muda wakuona uzuri wake, tunajikita zaidi kwenye udhaifu wa ufanyaji wake kazi, ebu jamani kama wanadamu tunamakosa mengi kila mtu anayakwake lakini pia tujipe nafasi ya kupima mabaya na mazuri yake, kila mtu ana mapungufu. Jambo la makontena nilakiutawala zaidi watumishi Wa umma njia wanayotumia kulumbana siyo sahihi Makonda ni mkuu wa mkoa kumbuka yenye ndiyo mlinzi wa Bandari anamadaraka kuliko waziri ki mkoa bandari ni tasisi iliyochini ya ulinzi wake alikuwa nanafasi yakumaliza hayamambo ofisini kwake hata kwa kumwita waziri wakamaliza bila maneno, Haya mambo hatuna budi kuwakumbusha watendaji wetu kushirikiana katika kufanya maamuzi.
 
Sababu ingine ni kwamba; Mkuu wa Mkoa wa Dar ndio Mlinzi wa Mali za Rais aliyeko Madarakani.
 
Kweli kabisa hujakosea mkuu. Nchi za kiafrika zina viongozi wahovyo sana ndiyo maana waafrika wakienda nchi nyingine hufanikiwa sana. Tena waafrika wanaona radhi kuwa zimamoto huko Ufaransa kuliko mwanajeshi Afrika...Afrika ina ombwe kubwa sana la uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umezisoma hoja za Dr. Mpango katika barua aliyomjijibu Mh. Paul Makonda juu ya ombi lake la kutaka kupewa msamaha wa kodi wa mzigo huo?

Je katika barua hiyo umeusoma vizuri ushauri alioutoa Dr. Mpango kwa Mh. Makonda ili Mzigo huo apate Tax execemption?

Je kwa nini Mh. Makonda hakufata ushauri huo aliopewa toka May mapaka leo.

Sheria ni sheria tu. Kama tunashindwa kusimamia sheria ndogo kama hizi tulizojiwekea, vipi sheria katika maswala makubwa?
 
huyu naye utadhani ni naibu waziri wa mkulu yaan yeye ni kukurupuka tu kutafuta kiki,nahc bado ana uhayawani wa utototni mwake hajapona vzr,kizuri pamoja na uropokaji wake serikali inamchekea tu na kufurahia ila haya yangefanywa na mtu anayehisiwa ni mpinzani hadi sasa angekuwa ndani na kesi zaidi ya 500 hii inatusadikisha kujua kuwa ni mtu mwehu ndani ya system na hata anayosena kaandikiwa na analipwa kutokana na hayo,wafadhili wake ni serikali yenyewe,huyu ndio kiongozi wa propaganda wa CCM kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…