DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Mimi kiukweli nipo hivi… .

Nilifundishwa kupenda maendeleo na wazaz wangu hvyo pia napenda mtu anayependa maendeleo…

Makonda amekuwa mpenda mwendeleo pamoja shutuma kibao lakini anapambana watu tumekalia maneno tu kumsema… ..

tufike mahali tuwe wakweli elimu sio kila kitu ila akili ndio kila kitu… ..

Nchi yetu inaponzwa na siasa za ubaguzi yaani tunaangalia nani kafanya na yupo upande upi upuuzi mtupu tufike mahali tuache siasa kwenye maendeleo… ..
Unaweza kutaja mambo yakimaendeleo aliyoanzisha Makonda na yakafanikiwa tangu alivyokuwa mkuu wa Wilaya hadi sasa mkuu wa Mkoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenyatta alitwita watanzania maiti sisi hata hisia na nchi yetu na rasilimali na kodi zetu. Hatuna uchungu nazo tuwachie maiti tulale sisi


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Leo hii yuko wapi
 
Sheria ni msumeno, no body is above the law, na kutokujua sheria hakuhalalishi maovu no matter what, sheria ichukue mkondo wake, waziri yupo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I dont buy your Idea,hakuna uhusiano wa moja kwa moja na uchaguzi wa marudio na hata hivyo watu hawana interest na uchaguzi wowote kwa kuwa matokeo yanajulikana.
 
Mkuu umezisoma hoja za Dr. Mpango katika barua aliyomjijibu Mh. Paul Makonda juu ya ombi lake la kutaka kupewa msamaha wa kodi wa mzigo huo?

Je katika barua hiyo umeusoma vizuri ushauri alioutoa Dr. Mpango kwa Mh. Makonda ili Mzigo huo apate Tax execemption?

Je kwa nini Mh. Makonda hakufata ushauri huo aliopewa toka May mapaka leo.

Sheria ni sheria tu. Kama tunashindwa kusimamia sheria ndogo kama hizi tulizojiwekea, vipi sheria katika maswala makubwa?
umenena
 
Hiyo sababu inaelekea kueisha muda wake. Watu wa ngada hawana mda nae tena saivi.
 
Team; kuna uchaguzi wa marudio na soon goli litafungwa kwa mkono; hizi drama zinazoendelea moja n kuwafanya watu wadisciscus zaid sakata hili.

Tunatolewa kwenye agenda hapa ya uchaguzi! Ili kelele za wapinzani kwenye kampeni zisiwe na Kiki pamoja na figisu za goli la mkono.

Mwaka jana kwenye bajeti Makonda alikuja na movie ya kutotoa kwenye agenda tukaishia kujadili watoto walio telekezwa afta bajeti movie ikaishia hapo!

Hiyo n spinning movie! Sterling ni Makonda, co actor mpango na dotto.

Na ili kuinogesha movie wakina musiba nao wameongezwa! Tunapigwa matukio na mtengeneza matukio!

Another Makonda job, Sheriff in town!
Waache waibe tu cc tunataka kodi yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ni mmoja wa wale watu wake walio ktk korido za RC hapo Boma Ilala kila kukicha kwa ajili ya ujira wao toka kwake. ndio akina le mutuz hao. na ndio maisha yao. tafuteni kazini nyingine mwisho wenu umewadia.
 
Mimi kiukweli nipo hivi… .

Nilifundishwa kupenda maendeleo na wazaz wangu hvyo pia napenda mtu anayependa maendeleo…

Makonda amekuwa mpenda mwendeleo pamoja shutuma kibao lakini anapambana watu tumekalia maneno tu kumsema… ..

tufike mahali tuwe wakweli elimu sio kila kitu ila akili ndio kila kitu… ..

Nchi yetu inaponzwa na siasa za ubaguzi yaani tunaangalia nani kafanya na yupo upande upi upuuzi mtupu tufike mahali tuache siasa kwenye maendeleo… ..
kwa sirikale hii huitaji kuwa na elimu KUUUBWA.
hata darasa la saba Unweza kuwa NAIBU RAHISI
 
Wengi sasa tunajua kuwa kuna sakata la makontena 20 yanayoshikiliwa na TRA yakidaiwa kuingizwa nchini kwa jina binafsi la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mnada wa makontena hayo, kwa mujibu wa gazeti la leo la Mtanzania, umepangwa kufanyika tena mnamo Septemba 1 mwaka huu yaani Jumamosi ijayo.

Kwa mujibu wa maelezo ya upande wa Makonda yaliyoripotiwa, inadaiwa kuwa makontena hayo 20 yana samani za shule za mkoa wa Dar es Salaam zilizochangwa na kuingizwa nchini na watanzania wema waishio nje ya nchi almaarufu kama Diaspora. Taarifa zinadai kuwa wanaDiaspora hao walichanga na kuleta samani hizo ili kuunga mkono juhudi za Rais na Mkuu huyo wa mkoa wa Dar za kuboresha elimu.

Iko wazi kuwa JamiiForums ni mtandao wa kijamii wenye wanachama kila kona ya dunia hii. Kuanzia watanzania hadi wale wasio watanzania wamekuwa wanachama wa mtandao huu. Katika kusema hivyo, wapo wana-JF ambao ni wanaDiaspora mfano mtani wangu Nyani Ngabu anayesemekana kuwepo nchini Marekani. Ndiyo maana nimeona vyema kuwauliza wanaDiaspora kokote walipo, kama 'wachangiaji' wa makontena 20 yanayohusika maswali yafuatayo ya lazima.

Mosi, ni kweli kuwa wanaDiaspora ndio waliochanga na kufanikisha kuletwa kwa makontena yaliyo mikononi mwa TRA? Pili, makontena hayo yamebeba bidhaa gani hasa? Tatu, mlengwa wa makontena hayo na bidhaa zake ni nani? Nne, kwanini yaliingizwa nchini kwa jina binafsi la Paul Makonda na si Ofisi ya Mkuu wa Mkoa au Wizara au Taasisi yoyote ya kiserikali? Na tano, watumaji mliambiwaje kuhusu kodi ya bidhaa hizo ili ziweze kutoka mikononi mwa TRA?
 
Mkuu mleta thread, je kama makonda alipambana na madawa ya kulevya, utajiri wake wa kutisha na wa muda mfupi ameupataje?
 
Mkuu MAGACHA ,ndiyo hiyo sababu moja tu? Ulikuwa na haja gani kusema sababu ni hizi hapa kama ipo moja? Nadhani,kawaida wananchi kama wewe hupiga ramli chonganishi. Kimsingi,ni Rais tu ndiye anayejua kwanini amemteua au kwanini amtumbue/asimtumbue.


usimlaumu Mkuu hiyo ni GPA YA 32
 
Back
Top Bottom