DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Wengi sasa tunajua kuwa kuna sakata la makontena 20 yanayoshikiliwa na TRA yakidaiwa kuingizwa nchini kwa jina binafsi la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mnada wa makontena hayo, kwa mujibu wa gazeti la leo la Mtanzania, umepangwa kufanyika tena mnamo Septemba 1 mwaka huu yaani Jumamosi ijayo.

Kwa mujibu wa maelezo ya upande wa Makonda yaliyoripotiwa, inadaiwa kuwa makontena hayo 20 yana samani za shule za mkoa wa Dar es Salaam zilizochangwa na kuingizwa nchini na watanzania wema waishio nje ya nchi almaarufu kama Diaspora. Taarifa zinadai kuwa wanaDiaspora hao walichanga na kuleta samani hizo ili kuunga mkono juhudi za Rais na Mkuu huyo wa mkoa wa Dar za kuboresha elimu.

Iko wazi kuwa JamiiForums ni mtandao wa kijamii wenye wanachama kila kona ya dunia hii. Kuanzia watanzania hadi wale wasio watanzania wamekuwa wanachama wa mtandao huu. Katika kusema hivyo, wapo wana-JF ambao ni wanaDiaspora mfano mtani wangu Nyani Ngabu anayesemekana kuwepo nchini Marekani. Ndiyo maana nimeona vyema kuwauliza wanaDiaspora kokote walipo, kama 'wachangiaji' wa makontena 20 yanayohusika maswali yafuatayo ya lazima.

Mosi, ni kweli kuwa wanaDiaspora ndio waliochanga na kufanikisha kuletwa kwa makontena yaliyo mikononi mwa TRA? Pili, makontena hayo yamebeba bidhaa gani hasa? Tatu, mlengwa wa makontena hayo na bidhaa zake ni nani? Nne, kwanini yaliingizwa nchini kwa jina binafsi la Paul Makonda na si Ofisi ya Mkuu wa Mkoa au Wizara au Taasisi yoyote ya kiserikali? Na tano, watumaji mliambiwaje kuhusu kodi ya bidhaa hizo ili ziweze kutoka mikononi mwa TRA?
HIVIII... ILE HOTEL yetu fenicha zake zilikamilika kweli? vitanda makochi.....??
 
Majibu yako ni kama ifuatavyo;

1: YALE NI MSAADA so yapite BURE, na atakayenunua atalaaniwa na Mungu wake yeye binafsi.
2: Ametumia utaratibu wa sheria mpya ambayo haijaundwa bado, ya kuagiza mizigo kwa jina lako binafsi na kuomba msamaha wa KODI
3; Aliyakana kwasababu hakusikia vizuri jina lake km limetamkwa, si unajua mara Daudi Bashite, mara Boy from Koromije, mara Paulo Makonda, yani majina mengi so yanachanganya sometime.
4: Watatunga na kutumia sheria mpya ambayo itaondoa vuguvugu lote hili, sheria mpya itaruhusu mtu binafsi kuingiza mizigo ya misaada na kuitoa free.
5: Waliandika makonda kwasababu Diaspora wanamfaham kama Makonda, wangeandika bashite yasingefika,

Subiri ujio wa sheria mpya,

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi samani zingeliandikwa jina la KUB zingetetewa sana na wanabavichaa humu.
 
Kaka hapo huwezi kupata majibu,huyu mkuu wa mkoa anawafanya watu wajinga.Naamini serikali inajua kila kitu kuhusu hayo makontena wapi yalikuwa yanakwenda.Serikali inamkono mrefu sana wakupata taarifa.Ila huyu PM anajifanya mjanja.
 
Baada ya lile sakata la makontena kati ya mkuu wa mkoa wa Dar na waziri wa fedha,wananchi kila kona walisema,na wakatabiri Makonda kufutwa kazi lakini mpaka dakika hii bado hajafutwa kazi na anaendelea kuwa mkuu wa mkoa

Siku za hivi karibuni Makonda amelaumiwa na Rais hadharani kuwa mkoa wake umeshuka kimapato na madiwani wanalipana posho mara mbili hata hivyo Rais hakuona sababu za kumuondoa nafasi hiyo kwa kosa tajwa

Wangekuwa watendaji au viongozi wengine wamefanya makosa mfululizo wangekuwa wameisha tumbuliwa zamani na wananchi wangekuwa wamesahau lakini kwa Makonda ni tofauti ,kumbuka kisa cha DED Bukoba ,kusahau kiasi cha fedha tu akatumbuliwa sembuse Makonda anapambana na serikali yake mwenyewe lakini hatumbuliwi

Sababu hizi hapa

Ishu ya Makonda kupambana na madawa ya kulevya ilimfanya awe na maadui kila kona na hata kuongezewa ulinzi na serikali

Inafahamika duniani ukishaingia katika harakati za kupambana na madawa ya kulevya basi maisha yako huwa yapo hatarini hivyo Rais anaona dhahiri kuwa akimfuta Makonda kazi basi atakuwa amewapa tiketi ya kuuawa kwa Makonda

Sio siri tena Makonda ana maadui kila kona baada ya sakata la madawa hivyo Rais anamhurumia sana

Ni swali la kujiuliza baada ya Magufuli kumaliza muda wake na Rais mwingine akaingia madarakani na asipomteua makonda kuendelea kuwa mkuu wa kitengo fulani ili aendelee kulindwa je,atakimbia nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi jamii forum hawajazindua kitufe cha dislike?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya lile sakata la makontena kati ya mkuu wa mkoa wa Dar na waziri wa fedha,wananchi kila kona walisema,na wakatabiri Makonda kufutwa kazi lakini mpaka dakika hii bado hajafutwa kazi na anaendelea kuwa mkuu wa mkoa

Siku za hivi karibuni Makonda amelaumiwa na Rais hadharani kuwa mkoa wake umeshuka kimapato na madiwani wanalipana posho mara mbili hata hivyo Rais hakuona sababu za kumuondoa nafasi hiyo kwa kosa tajwa

Wangekuwa watendaji au viongozi wengine wamefanya makosa mfululizo wangekuwa wameisha tumbuliwa zamani na wananchi wangekuwa wamesahau lakini kwa Makonda ni tofauti ,kumbuka kisa cha DED Bukoba ,kusahau kiasi cha fedha tu akatumbuliwa sembuse Makonda anapambana na serikali yake mwenyewe lakini hatumbuliwi

Sababu hizi hapa

Ishu ya Makonda kupambana na madawa ya kulevya ilimfanya awe na maadui kila kona na hata kuongezewa ulinzi na serikali

Inafahamika duniani ukishaingia katika harakati za kupambana na madawa ya kulevya basi maisha yako huwa yapo hatarini hivyo Rais anaona dhahiri kuwa akimfuta Makonda kazi basi atakuwa amewapa tiketi ya kuuawa kwa Makonda

Sio siri tena Makonda ana maadui kila kona baada ya sakata la madawa hivyo Rais anamhurumia sana

Ni swali la kujiuliza baada ya Magufuli kumaliza muda wake na Rais mwingine akaingia madarakani na asipomteua makonda kuendelea kuwa mkuu wa kitengo fulani ili aendelee kulindwa je,atakimbia nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Makamishna wa Kitengo cha Madawa ya kulevya wanabadilishwa na wengine wanastaafu , hao hawaogopi kuuawa ?
 
Ebu tujiulize thamani ya mchango wake kwa mkoa wa Dsm, unalingana na udhaifu wa makontena aliyoleta? Inawezekana hatupati muda wakuona uzuri wake, tunajikita zaidi kwenye udhaifu wa ufanyaji wake kazi, ebu jamani kama wanadamu tunamakosa mengi kila mtu anayakwake lakini pia tujipe nafasi ya kupima mabaya na mazuri yake, kila mtu ana mapungufu. Jambo la makontena nilakiutawala zaidi watumishi Wa umma njia wanayotumia kulumbana siyo sahihi Makonda ni mkuu wa mkoa kumbuka yenye ndiyo mlinzi wa Bandari anamadaraka kuliko waziri ki mkoa bandari ni tasisi iliyochini ya ulinzi wake alikuwa nanafasi yakumaliza hayamambo ofisini kwake hata kwa kumwita waziri wakamaliza bila maneno, Haya mambo hatuna budi kuwakumbusha watendaji wetu kushirikiana katika kufanya maamuzi.
Hiyo sio kinga mkuu hayo mazuri unayoyasema kayafanya ndio wajibu wa kiongozi kuyafanya na ndio aliyoapa kusimamia na kuyatekeleza. Anapoteleza lazima akosolewe. Sio utetezi huo mkuu
 
Baada ya lile sakata la makontena kati ya mkuu wa mkoa wa Dar na waziri wa fedha,wananchi kila kona walisema,na wakatabiri Makonda kufutwa kazi lakini mpaka dakika hii bado hajafutwa kazi na anaendelea kuwa mkuu wa mkoa

Siku za hivi karibuni Makonda amelaumiwa na Rais hadharani kuwa mkoa wake umeshuka kimapato na madiwani wanalipana posho mara mbili hata hivyo Rais hakuona sababu za kumuondoa nafasi hiyo kwa kosa tajwa

Wangekuwa watendaji au viongozi wengine wamefanya makosa mfululizo wangekuwa wameisha tumbuliwa zamani na wananchi wangekuwa wamesahau lakini kwa Makonda ni tofauti ,kumbuka kisa cha DED Bukoba ,kusahau kiasi cha fedha tu akatumbuliwa sembuse Makonda anapambana na serikali yake mwenyewe lakini hatumbuliwi

Sababu hizi hapa

Ishu ya Makonda kupambana na madawa ya kulevya ilimfanya awe na maadui kila kona na hata kuongezewa ulinzi na serikali

Inafahamika duniani ukishaingia katika harakati za kupambana na madawa ya kulevya basi maisha yako huwa yapo hatarini hivyo Rais anaona dhahiri kuwa akimfuta Makonda kazi basi atakuwa amewapa tiketi ya kuuawa kwa Makonda

Sio siri tena Makonda ana maadui kila kona baada ya sakata la madawa hivyo Rais anamhurumia sana

Ni swali la kujiuliza baada ya Magufuli kumaliza muda wake na Rais mwingine akaingia madarakani na asipomteua makonda kuendelea kuwa mkuu wa kitengo fulani ili aendelee kulindwa je,atakimbia nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuuuzzi wwe.hiv unaiona jf,ni ya matangazo ya biashara.Jaman Mods,vp.SKU izi MBNA kazi yenu haionekan kwa mada za kizushi km hiz.au hela za mb zimewazidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiba sema machache , Makonda uliwahi kumtetea, mbaya zaid hujajua Magufuli yuko upande gani, unataka ukuu wa wilaya cheza kwa akili mchezo huu,

Nataka kununua popcorn za kutosha niimalize movie hii
mkuu amekusaidia kuhesabu... ulisema makontena 36... musiba ame hesabu yamefika 800... na kataja vilivyomo ndani sio madawati tu... na meza za kusomea...
 
sipati picha kule instagram. lemutuz lazima na yeye atarudi na mfululizo wa matamko ya kumsafisha boss wake(daud bashite)

uzuri wa hii drama kila upande una mpambe wake wake wa kurusha maneno.

ila mwisho wa siku lazima kuna upande utapata hasara.
Le mobimba uwa ana angaliaga upande wa ushindi ana pima maji... alikataa kukaa upande wa mama yake kipindi katenguliwa u RC itakuwa kwa huyu wa Dar
 
Mtoa mada ni wale wale!
Hujui na hutambui kinachoendelea na ndo maana unatumika kuandika uongo. Kwenda zako na mauongo yako.
 
Musiba siku zote ni jitu la kukurupuka, kwanza kaita waandishi wa habari yeye yalafu eti anajifanya walikwenda kumhoji yeye! yeye kama nani? nani anamjua huyu musiba jamani! kwa lipi! ni mtu wa mtaani tu huyu kama wengine. Ana tabia ya kujikomba sana kwa mkuu. ila ajue kuwa;
Hajajua mkuu yupo 'kambi' gani na atakujaje!
Hajajua nguvu ya makonda itaamkaje au kumshukiaje!
Kutumika kama ile kitu ya 'wash room' ni mbaya sana.
Jamaa anakera mpaka basi tu .............!!

Yaani hii nchi kwa sasa kama ili mradi unasifia basi unaweza kuongea kitu chochote tu .......... Huyu Musiba ni Msiba kwa Taifa. Sijui ni kwa nini hachukuliwi hatua. Kwa sasa amekuwa kama ndiye msemaji wa Rais na serikali ......... anatia hasira!!

Sasa makoteina 800 si ni meli nzima inakuwa imeleta mzigo wa mtu moja tu ............ seriously!!
 
Baada ya lile sakata la makontena kati ya mkuu wa mkoa wa Dar na waziri wa fedha,wananchi kila kona walisema,na wakatabiri Makonda kufutwa kazi lakini mpaka dakika hii bado hajafutwa kazi na anaendelea kuwa mkuu wa mkoa

Siku za hivi karibuni Makonda amelaumiwa na Rais hadharani kuwa mkoa wake umeshuka kimapato na madiwani wanalipana posho mara mbili hata hivyo Rais hakuona sababu za kumuondoa nafasi hiyo kwa kosa tajwa

Wangekuwa watendaji au viongozi wengine wamefanya makosa mfululizo wangekuwa wameisha tumbuliwa zamani na wananchi wangekuwa wamesahau lakini kwa Makonda ni tofauti ,kumbuka kisa cha DED Bukoba ,kusahau kiasi cha fedha tu akatumbuliwa sembuse Makonda anapambana na serikali yake mwenyewe lakini hatumbuliwi

Sababu hizi hapa

Ishu ya Makonda kupambana na madawa ya kulevya ilimfanya awe na maadui kila kona na hata kuongezewa ulinzi na serikali

Inafahamika duniani ukishaingia katika harakati za kupambana na madawa ya kulevya basi maisha yako huwa yapo hatarini hivyo Rais anaona dhahiri kuwa akimfuta Makonda kazi basi atakuwa amewapa tiketi ya kuuawa kwa Makonda

Sio siri tena Makonda ana maadui kila kona baada ya sakata la madawa hivyo Rais anamhurumia sana

Ni swali la kujiuliza baada ya Magufuli kumaliza muda wake na Rais mwingine akaingia madarakani na asipomteua makonda kuendelea kuwa mkuu wa kitengo fulani ili aendelee kulindwa je,atakimbia nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Buhahahahaha

Kwakweli

maisha yanapiga mpaka akili inasahau kazi yake!!!!

Pole sana ndg

ila umejitahidi kdg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa anakera mpaka basi tu .............!!

Yaani hii nchi kwa sasa kama ili mradi unasifia basi unaweza kuongea kitu chochote tu .......... Huyu Musiba ni Msiba kwa Taifa. Sijui ni kwa nini hachukuliwi hatua. Kwa sasa amekuwa kama ndiye msemaji wa Rais na serikali ......... anatia hasira!!

Sasa makoteina 800 si ni meli nzima inakuwa imeleta mzigo wa mtu moja tu ............ seriously!!

Huyu msiba bangi alizovuta akiwa mara zimemuathiri ubongo
 
IMG_7050.JPG


Ikiwa ni siku moja tu imepita tangu Makontena 20 yenye samani yaliyozuiliwa Bandarini kukosa wateja wa kuyanunua Agosti 25, 2018; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mnamo Agosti 26, 2018, akiwa katika Ibada Maalum ya Kanisa la Anglikana, wilayani Ngara, Mkoa wa Kagera, aliwaonya wale wote watakaothubutu kununua Makontena yake kuwa watalaaniwa. Makonda alidai anaamini Mungu alimpa kwa ajili ya walimu wa Mkoa wangu.
Hata hivyo, TRA baada ya kupata tena baraka za Waziri wa Hazina, Phillip Mpango, Agosti 27, 2018, imetangaza tena mnada mwingine kufanyika keshokutwa Septemba Mosi, 2018
Hata hivyo, licha ya Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo, kuwaasa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kununua samani zilizomo, bado haijulikani kama hofu kubwa waliyokuwa nayo wateja ya kuja kushughulikiwa baadaye na Makonda imeisha. Hata hivyo kwa kuwa, haijajulikana yupi ndiye yupi kati ya Mpango na Makonda, inaweza kusababisha hofu kuendelea kuwepo.
Labda Cyprisn Musiba, ametoa mwelekeo wa hali ililivyo na wapi uzito umeegemea, lakini Wafanyabiashara watahitaji kuwa more cautious baada ya kujionea wenyewe madhara ambayo huwakuta wanapodharau ama kuingilia wanasiasa.
Je, ni muda muafaka kwa waumini ambao ni wafia nchi nao kuingia chimbo kuomba ili kuondoa mkosi wa laana ulioletwa na Makonda? Jamani nendeni kuomba tunaitaka bilioni yetu ya kodi.
Jamani shangilieni basi twafungwa siye ati? Nalianzisha dude ....
 
Wale jamaa waliokuwa wanawatetea bashite na musiba hivi kwa sasa mko upande upi?
Mko upande wa Mpango au Makonda..?!
Musiba nae kaibuka, ambapo alidaiwa kutumwa na "mwana" wa mkulu mara kwa mara kumsemea mambo mbalimbali nae kaamua kumlipua "mwana"
Namuuliza Le mutuz a.k.a kitumbo na wengine mpo upande gani...??!
 
Back
Top Bottom