Ishu hii Mshindi Mkuu wa Mkoa, hoja zake zina make sense.
Raisi kamuelewa ndio maana yuko kimya.
Hakuna atakaye ondolewa kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais kishamchana vya kutosha Makonda kutokea Chatto Na hivi Sasa Msigwa anafanya yake soon mta sikia Pohamba ndio RC Dar