Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua


Acha uongo, tangu lini upinzani wameongoza nchi hii. Mna hasira na upinzani walioko nje lakini CCM inayowaibia kila siku mnailamba matakao na kuisujudia. Ondoa unafiki wako hapa.
 
ACT kinapambana sana kuwa chama kikuu cha upinzani. Wakiendelea hivi chini ya miaka mitatu ijayo watakuwa wameshaipiku CHADEMA hasa hii ya sasa.

Maandamano yana nia nzuri sana sema mwamko wa Watanzania ndiyo zero....

View attachment 2591675

Hakiwezi kuipiku CHADEMA hata siku moja. CHADEMA imevuja jasho na damu kufika ilipofika leo. ACT Ni chama Cha Fursa.
 

Hawashambuliwi na CCM maana ni tawi lao. CHADEMA waliitisha UKUTA jeshi la polisi nchi nzima likaingia mazoezini. Mpaka jeshi la JWTZ likajiingiza kwenye mazoezi.
 

Haya maandamano ya ACT wangefanya Dodoma ingeleta impact.
 
Hili ndilo tatizo kubwa zaidi Tanzania kuliko hata ufisadi...Ingetakiwa woote tuandamane hayo ya kuangalia nan kaandaa maandamano ni ya baadae...Nnaamini tungeleta mshtuko mkubwa Serikalini lakin kwa kujigawa huku ndo tushapoteza kabiiiisaaaaa

ACT hayuko serious ni Kama anafanya utani. Maandamano gani yanapokelewa na Rais ikulu?. Jiulize na wewe.
 
Kwa jinsi watanzania tulivyo, hapo uko kitandani umejifunika na duvet, unaandamana Kwa simu[emoji1787][emoji1787]
Watanzania labda tutaandamana siku mafuriko yakiingia kwenye nyumba zetu, manake tutakuwa hatuna Kwa kujificha.

Acha kutumia neno watanzani sema “kuna Watanzania wengine”
Kujiropokea na kutupa uchoro usio na mbele wala nyuma [emoji2959]
Idiot!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…