econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mkuu Kwanza elewa Upinzani wa Tz wa hovyo na viongozi wake hawaaminiki ,,toka nilijue hili sitokuja kupiga kura na Wala mwanafamilia yangu hatathubutuu. Wazazi wangu nilishawapora kadi za mpiga kura toka 2010.
Kuwa na kiongozi asiyekuwa na dira Wala msimamo wa anachokisimamia ni upumbavu
Acha uongo, tangu lini upinzani wameongoza nchi hii. Mna hasira na upinzani walioko nje lakini CCM inayowaibia kila siku mnailamba matakao na kuisujudia. Ondoa unafiki wako hapa.