Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingne huyu hapa[emoji1787][emoji1787]mashekhe ubwabwa ndo hao.
Uchawa (sio sana uchawi)
I[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana muwe na adabu basi. Hao ni wazee wetu. Tanzania tunaheshimiana na tunaishi kiuungwana na kwa udugu wa kupigiwa mfano. Hebu acheni kuendekeza hoja za kibinafsi.
Hakuna shida kwa masheikh kumtetea mchungaji huo ni upendo wa next level. Msijisahaulishe namna wachungaji na makanisa yalisimama na watanzania wengine kutetea masheikh wa uamsho kuachiwa huru ingawa walikuwa na itikadi za kibinafsi. Tuwe na utu kwanza.
Kumbe muuza mafuta hanaga mke😆😆🙌what i know for sure ni kwamba, atafungua ile briefcase yake ya mamilioni ya sadaka za mang'ombe, na atawapa pesa za kutosha kwa kumsifia. yeye na wao hawatofautiani kwasababu mungu wanayemwakilisha hapa duniani ni mmoja. ila ni tofauti na Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo ambaye ndiye Mungu wa kweli.
kati ya embarrassment zilizowahi kutokea duniani kwa wakristo, ni uwepo wa manabii wa uongo kama huyu anayejiita mkuu na yule muuza mafuta asiye na mke. afadhali hata yule mbwia konyagi tunajua hana kanisa ana maombezi tu na hana kitu kichwani.
Siku zote usifanye maamuzi ukiwa na njaa, maana utakuja shusha utu wako bure, watu wazima wanaazirika Sasa na record yao ya njaa yao ishaingia kwa mtandao!!Aibu kwao,njaa imewafanya wageuke wafia tumbo.
Zile nguvu za kua na Mke alizigawa huko kwenye mashariti ya Mafuta!!Kumbe muuza mafuta hanaga mke[emoji38][emoji38][emoji119]
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
🤣🤣Siku zote usifanye maamuzi ukiwa na njaa, maana utakuja shusha utu wako bure, watu wazima wanaazirika Sasa na record yao ya njaa yao ishaingia kwa mtandao!!
Waswahili hao,..I
Nina maswali mawili
1. Hao ni mashehe wa msikiti gani?
2. Wana Elimu ya dini inayowawezesha kuswalisha?
Kwani lazima kuoa??Kumbe muuza mafuta hanaga mke[emoji38][emoji38][emoji119]
Acha uzushi wewe.Zile nguvu za kua na Mke alizigawa huko kwenye mashariti ya Mafuta!!
HapanaKwa hiyo wakristo wanamkubali sana nabii...!?