Mkuu upo,naona umekuja kupaza sautiMaskini hana chake mkuu wangu loh. Dunia haina usawa
Hapo sasa yaanIla siku hizi tunaishi kwa wasiwasi nchi hii ka digidigi sasa jiulize Mo katekwa wewe raia wa kawaida je
Kumbe una majibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Vibaka wenye tu wakikuzunguka hata aja kubwa inakuja sembuse hawa professional killers
Ila siku hizi tunaishi kwa wasiwasi nchi hii ka digidigi sasa jiulize Mo katekwa wewe raia wa kawaida je
Oke let the nature take its place...All human are equal but others are more equal. Akitkewa more si sawa na ukitekwa wewe na mimi. Hiyo sio ubaguzi bali ndio nature ilivyo.
Nimekuja kupaza sauti maana wasiojulikana walienda likizo sasa wamerudi maana haya matukio yanatuondolea hata RAIA wa kawaida Amani hofu inatanda. Mi namuombea Mo kweli kutekwa kunatisha mnoMkuu upo,naona umekuja kupaza sauti
Shida tupuHapo sasa yaan
Ni kweli mkuu...hakuna mahali Makonda kasema Mo kapatikana!
Nimemsikiliza vizuri sana .....sinaga mizuka nae lkn kwa hili namtetea
Kabisa yaniAmani imetoweka
Hivi hujui nao wanakua wamepaniki presha nk ..kila mtu anakua na tension mtekaji na mtekwaji[emoji13] [emoji13]Unamvizia wakati wewe ndo main target...yaan uliviziwa kitamboo
Na ule mshtuko wa ambush hutathubutu kurusha hata ngumi
Mawazo yako yanawakilisha aina ya viongozi wengi waliopo Afrika! Hata panya anaona mbali zaidi!Sijui hawa watekaji wamejiamini kumteka mtu maarufu kama yule tenda kwenye jiji lenye ulinzi mkali kama Dar.
Jamani tule hata nyasi ili nunue CCTV camera mji mzima mpaka kule Majohe na Msongola kwenye barabara za mavumbi.
Hao unaweza kuwapa simu na pochi yako wakaondoka sasa hawa ambao wanakuchukua ukiwa hujiui kipi kinafata baada ya kukuchukua. Ni hatari Mungu atuepushe pia amuepushe na kila baya aweze kuacahiwa akiwa salamaVibaka wenye tu wakikuzunguka hata aja kubwa inakuja sembuse hawa professional killers
Nachomaanisha ni kuwa aliyeshuhudia kaona watu wanne, kamanda kamalizia kuwa waliomteka ni wazungu wawili.mtoa mada unaweza ukawa umeeeleweka au hujaeleweka maana ya mchanganyo nilivyokuelewa mimi unamaana hapo kuna kauli mbili tofauti au vipi yaani watu 4 na watu 2??
Sasa kwa hali kama hii kuna raha ganiMkuu bora upate taabu kuliko shida
Kujiuzulu siku hizi tumezoea sio habari tena ya kutisha. Hafu hajawapoza wana nchi machungu ya msiba kawaongezea tena adhabu ya uchaguziYule mbunge wa ukerewe ana bonge la gundu! Kujiuzulu kwake kumefunikwa na wasojulikana kudadadeki!
Asije nae akajiteka ili kutafuta kiki mpya!
Hapana ... Kuna mijamaa ya yanga imefurah kinomaAlipoitaja Simba ndipo alipoteleza kidogo, sasa hivi sio wakati wa kuwaingiza mashabiki wa simba kwenye hili, tunatakiwa sote tumtafunte mwenzetu bila kujali Simba na Yanga.