SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
Mimi mwenyewe nawashauri waende kwa nabii tena hapa hapa dar atawaambia yuko wapiSiombi hii kitu hata kidogo inikute mtu wangu, sema natamani ningekua nabii niwatajie watanzania huyu mtu yupo wapi,
Alishtukaga mapema?Rostam si alishakimbiaga nchi kumbe yupo?
Kwanini mkuuKwenye huu uzi hupumziki??
Moe ndo nani?Tajiri Moe ni nani tena huyo mkuu? Ina maana wametekwa watu wawili leo?
Hivi Mo ameshapatikana?
Kabisa mkuuni sawa na kuingia ikulu alafu uanze kuwaza bastola..kuna sehemu ukiingia unajiamini kuna usalama kumbe hamna kitu kwa Hotel ile alomuuza MO ni mtu wa pale pale either mfanya mazoezi mwenzie au yeyote wa pale anaejua Ratiba ya Gym na muda wa MO kuingia gym....huwezi vamia BANK bila taarifa kutoka kwa watu wa ndani.
Hahaha et bikiraSiku zote Adui yako huangalia udhaifu ulionao na kupita kwenye njia zako hasa zile nyeusi. Hili swala ni pana na sisi wananchi hatuna budi kuliacha kwa vyombo vya Intelijensia kufanya kazi yake kwa upana na kuja na majibu sahihi ili kumwokoa msichana mzuri na Kigori (Bongo) kutoka kwa mapapa wanaotaka kuivuna bikra yake kinguvu.
Lilianzia kwa mwanasiasa nguli na mashuhuri, Likatelezea kwake mmiliki kwa msanii mashuhuri mwenye mtazamo hasi na mwenendo wake na sasa kwa Mfanyabiashara mashuhuli,
Mungu mlinde kijana huyu MO na maovu yote, na pia endelea kumpigania msichana huyu mrembo mtarajiwa lulu ya dunia.
Ahsante!!!
Umepotea, Kiwango cha MO sio chakutekwa na wahuni.Hao ni wahuni wanataka pesa, awape tu hali ni ngumu.
Kila nikifungua huu uzi nakutana na ID yako..good staff thoughKwanini mkuu
Ningeshangaa Rostam awepo nchi hii awamu hiiAlishtukaga mapema?
Kwani wewe haumo humu?Kila nikifungua huu uzi nakutana na ID yako..good staff though
Ni kimeo eeeh?Ningeshangaa Rostam awepo nchi hii awamu hii
Daaah! Hii nchi mfumo wake tu unatukatsha tamaa vijana,sasa kama MTU mo ndo alikuwa role model wake kwa hali hii kweli..moyo lazima uvunjike
Correction,Mtanzania!Muhindi ndo role model wako?
Huwezi tekwa kama 100% upo kundini...ukisapoti kila jambo.Ila inauma sana nchi hii ilipo fika sasa mtu kama mimi wakiniteka si itakuwa basi na huku tuliko mabode kuinama itakuwa kilio kwa wazazi na hatimae watanisahau tu tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana haya matukio hatukuyazoee kabisa na ni kwa nini awamu hii yamekuwa mengi Dana
Enzi za jakaya yalikuwepo ila sio kwa kasi ya 4g ya sasa
HahahahaMuhindi ndo role model wako?