Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Tutakukumbuka mheshimiwa, tutasimulia na vizazi vyetu kuwa kuna wakati Inji yetu ilimilikiwa na wacolombiana weusi, hawakuchagua wakumteka, hata Yesu angetokea na kukosoa angetekwa au kupigwa risasi.
 
ni sawa na kuingia ikulu alafu uanze kuwaza bastola..kuna sehemu ukiingia unajiamini kuna usalama kumbe hamna kitu kwa Hotel ile alomuuza MO ni mtu wa pale pale either mfanya mazoezi mwenzie au yeyote wa pale anaejua Ratiba ya Gym na muda wa MO kuingia gym....huwezi vamia BANK bila taarifa kutoka kwa watu wa ndani.
Kabisa mkuu
 
Siku zote Adui yako huangalia udhaifu ulionao na kupita kwenye njia zako hasa zile nyeusi. Hili swala ni pana na sisi wananchi hatuna budi kuliacha kwa vyombo vya Intelijensia kufanya kazi yake kwa upana na kuja na majibu sahihi ili kumwokoa msichana mzuri na Kigori (Bongo) kutoka kwa mapapa wanaotaka kuivuna bikra yake kinguvu.

Lilianzia kwa mwanasiasa nguli na mashuhuri, Likatelezea kwake mmiliki kwa msanii mashuhuri mwenye mtazamo hasi na mwenendo wake na sasa kwa Mfanyabiashara mashuhuli,

Mungu mlinde kijana huyu MO na maovu yote, na pia endelea kumpigania msichana huyu mrembo mtarajiwa lulu ya dunia.
Ahsante!!!
Hahaha et bikira

We jamaa mchochez sana
 
Daaah! Hii nchi mfumo wake tu unatukatsha tamaa vijana,sasa kama MTU mo ndo alikuwa role model wake kwa hali hii kweli..moyo lazima uvunjike
 
Kwa nini mkuu wa.mkoa anaconclude kuwa ni wageni ? Tanzania haina wazungu?kwenye matukio kama haya ni bora kuwa general hapo si ajabu kwa usemi vyombo habari vikawa busy na na wageni tu kumbe njemba ni za humu hafu ni bora kujiridhisha na sura maana wabongo wengi kila ngozi angavu ni mzungu. Ila pia taarifa mjue nao wanaweza kuzifuatilia ukisema unafunga mipaka si mnawapa plan B? Tunamuombea Mo wetu
 
Msemaji wa polisi hadi hivi Sasa Mo hajapatikana wala hajakamatwa mtu yeyeto. Source BBC focus on Africa.
 
Ila inauma sana nchi hii ilipo fika sasa mtu kama mimi wakiniteka si itakuwa basi na huku tuliko mabode kuinama itakuwa kilio kwa wazazi na hatimae watanisahau tu tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana haya matukio hatukuyazoee kabisa na ni kwa nini awamu hii yamekuwa mengi Dana
Enzi za jakaya yalikuwepo ila sio kwa kasi ya 4g ya sasa
Huwezi tekwa kama 100% upo kundini...ukisapoti kila jambo.
 
Mheshimiwa Rais kama kweli wazungu wamekuingilia ktk Nchi yako na kumteka na kutowekanae mfanyabiashara MO, basi tumbua Uongozi wowote unaohusika na ulinzi na usalama wa Nchi yetu.
Wanakujaribu Muheshimiwa hawajui hujaribiwi, hawakujui vizuri, wanakubeep ni vizuri ukawapigia, huku ni kukudhalilisha wewe na Nchi yako.
Wazungu wawili na majeshi yote tuliyonayo!? Haiwezekana, kuna watu hawawajibiki au wanawajibika kukuchafulia ktk utendaji wako. Onyesha hasira zako sasa Mheshimiwa ili iwe fundisho kwa wengine.
Wale wote wasiowajibika ktk nafasi zao za kazi kama ipasavyo fweeeekeleambali.
 
Back
Top Bottom