Dar Mpya: Mawaziri na wabunge wako nyuma ya Umoja Party. Wengi watiifu kwa hayati Magufuli

Dar Mpya: Mawaziri na wabunge wako nyuma ya Umoja Party. Wengi watiifu kwa hayati Magufuli

ACT chenyewe hakikufa kwasababu yule msaliti wao waliyemtengeneza toka akiwa Chadema, aliendelea mbele baada ya kujifukuzisha Chadema akakitafutia usajili, ndio akajiita "supreme leader" ila kama naye angeupata ule uenyekiti aliokuwa anautaka Chadema, naamini hiyo ACT nayo leo hii isingekuwepo.
Kumbe aliutaka uenyekiti! Hakujua sumu huwa haionjwi 😆😆
 
NDOTO YANGU YA ALFAJIRI

..Ninasikia nyimbo za mapambio kwa mbaaali sana.. ghafla ninawaona Chadema na ACT wakitangulia mbele na msalaba, mashada ya maua. Sanduku lina rangi mbili likiwa limebebwa kwa UMOJA wakielekea malaloni. Ninajaribu kusogelea kwa karibu ninakuta ndio wanamalizia shughuli ya kupumzisha mwili.

Mwisho ninayasikia maneno haya toka kwa waombolezaji

"Vita umeipigana, pumziko la milele liwe nawe"

Bwana ametoa, wana ametwaa

Ninashtuka toka usingizini ninaangalia saa yangu inasoma saa 10 alfajiri, tar 20 April 2022. Ninakwenda kuhakikisha kama nilifunga mlango vizuri ninakunywa maji ninarudi tena kulala.
 

Taa zimeshawaka kwenda 2025, kama ni kweli basi kuna kambi imeona ni vigumu kutoboa ndani ya chama hivyo wameona wabadili upepo. Walioshika hatamu chamani ni wazoefu wa Siasa na Umoja Party inaweza kula 'keleb' kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Anyways, kanda ya ziwa hiyo inarudi zake upinzani, atakayecheza karata vizuri ataipata.
Kama watafanikiwa kujiengua WATAPUNGUZA nguvu ya chama Dola, wakati huo huo WATAONGEZA nguvu ya upinzani. Kama wapinzani watachanga karata vizuri tembo aweza lala Chali.
 
Chama threat kwa CCM hakiwezi kupata usajili wa kudumu, hawa jamaa kama hawana connection na CCM basi wanajichosha bila sababu za msingi.

Dawa ya nchi hii ni katiba mpya, hapa tulipofikia hakuna njia nyininge yoyote ile. yaani ni hivi anayeandikisha hivi vyama vipya ili viweze kufanya kazi nchini kapewa hiyo kazi na Mwenyekiti wa CCM Taifa.
 
Chama threat kwa CCM hakiwezi kupata usajili wa kudumu, hawa jamaa kama hawana connection na CCM basi wanajichosha bila sababu za msingi.

Dawa ya nchi hii ni katiba mpya tu, hapa tulipofikia hakuna njia nyininge yoyote ile. yaani ni hivi anayeandikisha hivi vyama vipya ili viweze kufanya kazi nchini kapewa kazi na Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Hapa ndipo watajua nini maana ya Katiba bora.

Watachapwa hadi wachakae
 
Kama watafanikiwa kujiengua WATAPUNGUZA nguvu ya chama Dola, wakati huo huo WATAONGEZA nguvu ya upinzani. Kama wapinzani watachanga karata vizuri tembo aweza lala Chali.
Kwa tume ipi?
 
NDOTO YANGU YA ALFAJIRI

..Ninasikia nyimbo za mapambio kwa mbaaali sana.. ghafla ninawaona Chadema na ACT wakitangulia mbele na msalaba, mashada ya maua. Sanduku lina rangi mbili likiwa limebebwa kwa UMOJA wakielekea malaloni. Ninajaribu kusogelea kwa karibu ninakuta ndio wanamalizia shughuli ya kupumzisha mwili.

Mwisho ninayasikia maneno haya toka kwa waombolezaji

"Vita umeipigana, pumziko la milele liwe nawe"

Bwana ametoa, wana ametwaa

Ninashtuka toka usingizini ninaangalia saa yangu inasoma saa 10 alfajiri, tar 20 April 2022. Ninakwenda kuhakikisha kama nilifunga mlango vizuri ninakunywa maji ninarudi tena kulala.
Bangi mnazovuta mkiwa na njaa ni mbaya sana.
 

Taa zimeshawaka kwenda 2025, kama ni kweli basi kuna kambi imeona ni vigumu kutoboa ndani ya chama hivyo wameona wabadili upepo. Walioshika hatamu chamani ni wazoefu wa Siasa na Umoja Party inaweza kula 'keleb' kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Anyways, kanda ya ziwa hiyo inarudi zake upinzani, atakayecheza karata vizuri ataipata.
Interesting.

Kama hao masupporter hawajafanikisha usajili wa polisi, JWTZ , TISS, tume ya uchaguzi na msajili kwenye hicho chama, basi warudi kijiweni kuendelea kunywa wanzuki na kusimuliana kumbukumbu nzuri za jiwe.

Watu wakiambiwa katiba mpya ni muhimu kweli kweli wanashindwa kuelewa. Wanakimbilia kuanzisha chama cha siasa based on sentiments and nostalgia for a deceased person!
 
Back
Top Bottom