Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Unayajua maeneo hayo vizuri?Mbona unatoa habari haijitoshelezi? Unatetemeka? Marehemu ameuwawa hapo ITV? Kwa nini Henry Mabumo ndio aje kuutambua?
Mimi nipo Bukoli nitayajua vipi hayo maeneo? Ila sasa hivi umeweka mambo sawa.Unayajua maeneo hayo vizuri?
Kina Mabumo walikuwa Maryland wanakunywa, kuna mtu akaja anapiga kelele kuwa kaona maiti, ila anadhani marehemu ni mfanyakazi wa ITV.
Ndipo Mabumo na watu wengine pale bar wakainuka na wakaenda kumtambua
Siku zote watu wa mkoani huwaga Ni wasumbufuMimi nipo Bukoli nitayajua vipi hayo maeneo? Ila sasa hivi umeweka mambo sawa.
Kutaka kueleweshwa ni usumbufu? Watu wa Dar bana!