Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Binadamu ni mnyama katili kuliko wanyama wote. Wanyama wengine wanaua wanyama wenzao kwa ajili ya msosi lakini mnyama binadamu anakuvizia anakuua kisha anakutelekeza.

R.I.P Blandina.
 
Duuuuuh
 
Very sad

Alikuwa dada na mtangazaji aasiye na makuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…