Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Inasikitisha kupita maelezoLakini watu bhana, sqsa huyo kwanza ukimvamia hata hawezi jisaidia maskini na mkono mmoja jitu limuua....
Mualifu ni mualifu tu
Hili ni swali gani mkuu unauliza.Ameuawa au amekufa kifo chake binafsi?
Nadhani ni makosa tu ya kiuandishi, msamehe kakosea mkuu.His tena [emoji33]
Sio kweli. Tupo ambao Bwana Yesu atatukuta tukiwa hai wakati wa unyakuo wa Kanisa, tutabadilishwa kufumba na kufumbua tutapaa mawinguni kumlaki BWANA wetu.Kila nafsi itaonja mauti
Mkuu hata Dar sasa hivi ni jumuiya ya mkikoani ujue, je wewe haujijumuishi kwa watu wa mikoani?
Mkuu ufuo salo naye alisha uwawa au? Yule dada nilikuwa nampenda kwenye utangazaji wake, miaka mingi siangalii Taarifa ya habariR.I.p Blandina, nimejikuta nakumbuka tukio la Ufuo Salo miaka ile!
Hapo nitakuwa najipa shuhuli za watu wengineKama una ushahidi mpelekee madame amfunge
Hapo nitakuwa najipa shuhuli za watu wengine
Ushahidi jf π€£Tayari ushajipa mkuu
Ufuo salo ni Nani na alifanya Nini?R.I.p Blandina, nimejikuta nakumbuka tukio la Ufuo Salo miaka ile!
Mnhh... Hapa kama si mambo ya kudhulumiana hapa...mapenzi...viwanja ..mtaji wa kibiashara...etc.View attachment 1736697
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni limethibitisha kutupwa kwa mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari ITV/Radio one Blandina Sembu katika eneo la njia panda ya ITV na watu wasiojulikana waliokuwa wakitumia gari aina ya Noah.
ππππππUfuo salo ni Nani na alifanya Nini?
mzee mbona ngada inauzwa kama kawaidaWacha kudanganya watu humu, kila mtu alikua na sababu ya kumchukia magu ila wewe ni NGADA full stop.