Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

View attachment 1736697
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni limethibitisha kutupwa kwa mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari ITV/Radio one Blandina Sembu katika eneo la njia panda ya ITV na watu wasiojulikana waliokuwa wakitumia gari aina ya Noah.
Mnhh... Hapa kama si mambo ya kudhulumiana hapa...mapenzi...viwanja ..mtaji wa kibiashara...etc.

Coz I dont see her a political activist.
Duh.. RIP.
 
Tanzania ya sasa hivi kuuana kama hillbrow tuu hapo Johannesburg yaani watu hawajali wala nini...
Rest in peace Brandina
 
Back
Top Bottom