Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Alikuwa mtangazaji wa ITV! Mumewe alikuwa mwanajeshi alitaka kumuua yeye na mama ake! Huyo mjeda naye alijipiga risasi na kufa! Ilikuwa stori ya mjini kipindi kile! Nilikumbuka tu kwa kuwa huyu Blandina naye ni wa ITV!Ufuo salo ni Nani na alifanya Nini?