Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

Wanavyokazana kumuita mtoto miaka 17 ni mtoto! Huyo ni kijana tena shababi sababu ameshabalehe na tayari ana demu kama sio mademu, aende tu Segerea akatumikie miaka yake kwa mujibu wa sheria.
 
Duh huyu dogo ni jasiri na ana roho ngumu, unampiga mtoto mwenzio risasi na unambeba kumpeleka kwao na unadanganya amepigwa na shoti😪 kwanza miaka 17 huyu si anajitambua kabisa sheria ifate mkondo wake tu .

basi wazazi wenye silaha tunzeni vizuri silaha zenu ili kuepusha madhara kama haya. R.I.P mtoto
Si huwa mna waonyesha ma movie ya kikatili sasa ndio somo alilopata kwenye movie
 
Miaka 17 ni mtoto? Acheni masikhara huyu no kijana anayejitambua kabisa na anaweza kuwa hata na mademu hata wawili analala nao .Angekuwa demu ukute anamiliki libaba LA miaka 50
 
Matukio Kama hayo yapo mengi tuu..sema hayaandikwi..
Case study Manguruweni Tunduma.
 
Like father like son
Baba achunguzwe mtoto ametoa wapi ujasiri huu au ndio ndio effect ya movies
 
Si huwa mna waonyesha ma movie ya kikatili sasa ndio somo alilopata hotelMake kwenye movie
Aisee ni kweli ila basi silaha zitunzwe vizuri, imagine kama ingekua imefungiwa kwa sanduku la chuma huko funguo ikafichwa angeitoa wapi. Afu 17 yrs mi nakumbuka nilikua mdada mkubwa tu nayajua mema na mabaya. Eti movies ndiyo ziniharibu aargh labda watoto wa siku hizi.
 
Maisha ya dogo ndio yashaingia kwenye kiza...baba mtu naye anaweza kula mvua
Dogo anachomoka ,nakumbuka lugalo mwaka 1996 lishawai kutokea tukio kama hilo ,Mwanafunzi wa miaka 14 Alex alimpiga risasi kichwani mwanafunzi mwenzake lakini hakufungwa.
 
huyu dogo atakuja kuwa jambazi akiachwa mtaani huwezi mpiga risasi bado ukapata ujasiri wa kumbeba na kudanganya kapigwa na shoti ya umeme

kweli 17 ni umri wa mtoto ila kwa matendo haya huyu anajua alichokuwa anafanya wamlambe mvua za kutosha
Mkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!

Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.

Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
 
Mkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!

Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.

Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
Kwa hiyo mkuu unataka kusema huenda mtoto alishaanza kupata mafunzo ya kigaidi? Lazima tuanze kuunga dotz
 
Aisee ni kweli ila basi silaha zitunzwe vizuri, imagine kama ingekua imefungiwa kwa sanduku la chuma huko funguo ikafichwa angeitoa wapi. Afu 17 yrs mi nakumbuka nilikua mdada mkubwa tu nayajua mema na mabaya. Eti movies ndiyo ziniharibu aargh labda watoto wa siku hizi.
Kumbuka watoto wa siku hizi haswa mboga saba hawana adabu 70% yao
Yani kwetu ukisha fikisha miaka 12 chumba cha Mama na Baba kilikuwa kituo kidogo cha polisi!
Yani kama wame lala na kuna kitu unataka unatakiwa ugonge mlango mara moja tu! Ole wako ugonge mara 2 Na huna jambo la maana utajuta!
Yaani Mungu awa laza mahala pema peponi wazazi wangu mafunzo waliyo nipa sijawahi kupata tatizo lolote na na mtu maishani kwangu!
Siku hizi una fika kwa mtu unakaribishwa ndani Toto kubwa kabisa limekaa kwenye kochi limeweka miguu juu lina cheza game adi liambiwe litoke 🤔
Sisi enzi hizo mgeni kaja nyumbani tuna msalimia kwa dabu utulivu una kuwa 100%
 
Darasa la kwanza miaka mitano anamaliza shule ya msingi na miaka 11. Kidato cha kwanza 12 anamaliza sekondari na 16.
Usituletee mambo ya kizungu hapa bongo. Acha uswahili.
 
Back
Top Bottom