Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

Jamani msimsakame dada wa watu, watoto ni wengi sana wamemaliza sekondari chini ya miaka 16.
Shule hizi hizi za kwenda na kurudi kwa bus ndizo zinazoongoza kwa kupokea watoto chini ya miaka sita kuanza darasa la kwanza.
Watoto wangu watatu wamemaliza form four na miaka 16,mmoja kafunga tarehe 2 mwezi huu miaka 11 na yupo darasa la 7.
Huyo km wa kwangu 5yrs std one anamaliza na 11 yrs halafu huyo alofunga 11 tarehe 2 ni twin wa my first born aseeh!but yuko std 6
 
Mmh sasa kama ni binti atamaliza first degree lini kuanza kazi na kupata mtoto!
Wanaanza na 20 to 21yrs...yaani wa kwangu yuko std 7yrs wanamshangaa sana.yaani Bongo std 7 wengi ni 13yrs wanamaliza O level na 17 yrs.
 
Huyu kafanya tukio kwa kudhamiria kabisa,
Miaka 17 anajitambua kabisa, na pengine alifanyia sifa ya kua baba anamiliki mguu wa kuku, huyo mzee anawekaje siraha kizembe zembe hivyo.

Wote hawa nikuwapa adhabu.
Sheria inasema miaka 17 ni mtoto hivyo hajitambui mzee.
 
Hapo mzee atapata kesi ya negligence. Kwa mtoto ni ngumu, busara itumike tu.
 
Kama sikosei Lulu kesi ya Kanumba alishitakiwa kama mtu mzima ingawa alikuwa na miaka 17
 
huyu dogo atakuja kuwa jambazi akiachwa mtaani huwezi mpiga risasi bado ukapata ujasiri wa kumbeba na kudanganya kapigwa na shoti ya umeme

kweli 17 ni umri wa mtoto ila kwa matendo haya huyu anajua alichokuwa anafanya wamlambe mvua za kutosha
Huyo dogo akihojiwa vizuri unaweza ukasikia anasema aliona kwenye movie series ya Korea
 
huyu dogo atakuja kuwa jambazi akiachwa mtaani huwezi mpiga risasi bado ukapata ujasiri wa kumbeba na kudanganya kapigwa na shoti ya umeme

kweli 17 ni umri wa mtoto ila kwa matendo haya huyu anajua alichokuwa anafanya wamlambe mvua za kutosha
Ndio maana yuko kidato cha tatu maana yake ni bandidu. Alikariri darasa
 
Jamani msimsakame dada wa watu, watoto ni wengi sana wamemaliza sekondari chini ya miaka 16.
Shule hizi hizi za kwenda na kurudi kwa bus ndizo zinazoongoza kwa kupokea watoto chini ya miaka sita kuanza darasa la kwanza.
Watoto wangu watatu wamemaliza form four na miaka 16,mmoja kafunga tarehe 2 mwezi huu miaka 11 na yupo darasa la 7.
hata kama ndo uandike essay?
 
Miaka 17 ni mtoto? Acheni masikhara huyu no kijana anayejitambua kabisa na anaweza kuwa hata na mademu hata wawili analala nao .Angekuwa demu ukute anamiliki libaba LA miaka 50

[emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukweli na sikupingi. Tena hawanaga hata wasiwasi. My Dady.
 
Back
Top Bottom