Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

Mkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!

Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.

Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
nimekuelewa sana mkuu, kama ndivyo ilivyo basi naanza kupata picha ya roho ngumu ya huyu dogo. itakuwa alisha lishwa sumu flani juu ya mauaji ahojiwe kwa kina
 
Huyu kafanya tukio kwa kudhamiria kabisa,
Miaka 17 anajitambua kabisa, na pengine alifanyia sifa ya kua baba anamiliki mguu wa kuku, huyo mzee anawekaje siraha kizembe zembe hivyo.

Wote hawa nikuwapa adhabu.
 
Baba apewe adhabu ndogo ya 30 years, .Huyo kanjanja mwingine sijui mtoto afungwe tu maisha maana hayo ni mauaji ya kukusudia
 
Dah nimesoma kichwa cha uzi kwa kukurupuka, nilidhani mtoto adaiwa kumuua mwendazake.
 
Hata majambazi hawana ujasiri huo wa kujeruhi na kumbeba majeruhi mpaka kwao na kupindisha stori. Huyu ni zaidi ya jambazi.
Hawa akina junior hawa mpaka mtoto anajua unabastola aseee hyu mzazi hamnazo
 
Movies na video/computer games zinahamasisha sana watoto kufanya mambo kama haya, wengine wanaigiza sana kushika silaha na kuzitumia kwa wenzao. Sasa akikutana na silaha halisi unategemea nini hapo
 
Hivi bongo kuna juvenile detention au watasubiri afike 18 afu ale masika za kutosha?

Mshua ndio basi tena.
Yes zipo, moja wapo ipo karibia na hospitali ya Regency Dar na Tanga city bara bara 14 ipo pia
 
Anajua bastola ilipo,anajua kunitumia maanake inakuwa na safety lock sijui, kaitoa lock ndio kashuti mwenzie.
 
nani anawadanganya?
Jamani msimsakame dada wa watu, watoto ni wengi sana wamemaliza sekondari chini ya miaka 16.
Shule hizi hizi za kwenda na kurudi kwa bus ndizo zinazoongoza kwa kupokea watoto chini ya miaka sita kuanza darasa la kwanza.
Watoto wangu watatu wamemaliza form four na miaka 16,mmoja kafunga tarehe 2 mwezi huu miaka 11 na yupo darasa la 7.
 
Back
Top Bottom