Watoto wa waheshimiwa kule Feza wanaanza darasa la kwanza na miaka mitano lakini wakiwa bungeni wanaelekeza shule za kata waanze na miaka saba. FRANCIS DA DONUsituletee mambo ya kizungu hapa bongo. Acha uswahili.
nimekuelewa sana mkuu, kama ndivyo ilivyo basi naanza kupata picha ya roho ngumu ya huyu dogo. itakuwa alisha lishwa sumu flani juu ya mauaji ahojiwe kwa kinaMkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!
Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.
Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
Nisawa kama alianza shule na miaka 7Miaka 17 yuko kidato cha tatu mbona amechelewa kuanza shule
Haelew kwamba kuna memkwa[emoji2][emoji2]usituletee uswahili hapa bongo.
Hawa akina junior hawa mpaka mtoto anajua unabastola aseee hyu mzazi hamnazoHata majambazi hawana ujasiri huo wa kujeruhi na kumbeba majeruhi mpaka kwao na kupindisha stori. Huyu ni zaidi ya jambazi.
Nisawa kabisa tena ameenda vizuri. Lasaba anamaliza akiwa na 13/14;Miaka 17 yuko kidato cha tatu mbona amechelewa kuanza shule
Yes zipo, moja wapo ipo karibia na hospitali ya Regency Dar na Tanga city bara bara 14 ipo piaHivi bongo kuna juvenile detention au watasubiri afike 18 afu ale masika za kutosha?
Mshua ndio basi tena.
nani anawadanganya?Miaka 17 -18 ni umri wa A level
Jamani msimsakame dada wa watu, watoto ni wengi sana wamemaliza sekondari chini ya miaka 16.nani anawadanganya?
Kibongobongo wapo wenye mpk 17 form oneMiaka 17 yuko kidato cha tatu mbona amechelewa kuanza shule
Mmh sasa kama ni binti atamaliza first degree lini kuanza kazi na kupata mtoto!Kibongobongo wapo wenye mpk 17 form one