Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Raia mmoja ameokota gari lillilosombwa na mafuriko lakini watu wenye roho mbaya wamemzuia kulichukua.😢😢😢
 
Mvua za Mwaka 2011 uliziona wewe?
Ilikuaga 2012 nakumbuka kama sio 2010 kuna kombe la dunia lilikua linachezwa aisee ilianzaga mvua nakumbuka nilitoka muhimbili mpaka kimara kwa mguu
Jangwani pale maji yashafika ukingoni hapo mvua ilianzaga kama saa 10 hivi hio 12 jioni aisee mvua ilinyesha siku 3 kama sio4 mfululizo wallah sisahau
 
Leo 22/01/2025 naona kuna mvua itanyesha mpaka 30/01/2025 waambieni wa mabondeni waondoke
Yeah. Wahame mapema vinginevyo wakikaidi kama Mbowe watakumbwa na mafuriko ya Tundu Lissu.
 
Hapa mjini kati ya Dasalama mvua imekung'uta tangu usiku wa manane Tundu Lissu aliposhinda uchaguzi hadi sasa inaendelea kupiga mkuu. Kama ulikuwa na mpango wa kuja mjini, ahitisha kabisa.
Mkoa wa Dasilamu nyuma ya Eyapoti
Mvua kiasi tu wala sio ya kutisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…