heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Kama dar itafunikwa tununue kabisa fiber tusinunue magari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko hamjasombwa na maji?Nipo Kigamboni mvua ni kubwa sana na umeme kama kawaida umekatwa.
Tumenusurika.Huko hamjasombwa na maji?
Kumbe umerudi jukwaani!! Karibu tena.Tumenusurika.
Kama wana msimbazi walivyokaa kwa tahadhariKaeni kwa tahadhari...
Kivipi yanii...kwa sasa natamani ligi ianze...aiseeKama wana msimbazi walivyokaa kwa tahadhari
Sawa mkuu. Siwezi kubadilisha tittle ya uzi. Nasubiri mods wakiamka waje kubadilisha. Asante kwa kunikumbusha mkuu.
Hii picha Kama Ni ya kweli sijui Kama hawa walipona, navyoyajua mafuriko? Maji yanayotoririka yakifika usawa wa magoti Ni hatari sana, ahirisha safariKaeneo kadogo mnalundikana watu milioni 6,mnaanza kuilaumu Ccm 😀,rudini simiyuView attachment 2878447
Tatizo wananchi wakorofi nao wakiona mvua kubwa kiasi hiki wanaitumia kama fursa kutapisha vyoo vyao. Ukute hao raia wanaogelea kwenye maji yenye kinyesi. Tunaomba Chalamila hili nalo alibebe akalitolee tamko.Kaeneo kadogo mnalundikana watu milioni 6,mnaanza kuilaumu Ccm 😀,rudini simiyuView attachment 2878447
kumbuka hata nuhu Nuhu nae aliitwaga tapeli,Achana na hao matapeli
Leo mtageuka vibua , full kuogelea kwenye maji yaliyosheheni mbolea ya wakazi wa mji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo Kigamboni mvua ni kubwa sana na umeme kama kawaida umekatwa.
Na panya road waanzishe operation ya nyumba kwa nyumba ili wawaminye vizuri , maana huu muda wanaume wa Dar hata kutoka nje hamtaki , mnaogopa radi na matone ya mvua [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Maafa yatakuwa makubwa sana, hii mvua imevuka wastani, miundombinu itaharibiwa vibaya mno. Tuombe Mungu.