Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Halio sio...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kbs leo kwa mara ya kwanza nimeona maji yametuama mtaani kwanguHii mvua hata usipokuwa bondeni maji yanaweza kuingia ndani. Ni hatari
Hata kwenye kipindi hiki cha maafa ya mafuriko tutarajie wajanja kupiga hela za maafa. Hii nchi ngumu sana.Yap TANESCO wamekata umeme Bunju! Nimeshangaa walichelewa nini!
Tuendelee kusherekea Uhuru, Mapinduzi na Muungano! Watu wapige hela mpaka zipigike!
Na kushambulia wanaotaka mabadiliko iwe KATIBA, SHERIA ZA UCHAGUZI, HAKI, UWAJIBIKAJI!
Tuwaone hawqpendi AMANI NA UPENDO Kwa viongozi wetu wa ChukuwaChakoMapema!
Asante serikali kwa kutuletea mvua. Wakulima wa mpunga walikuwa wameanza kulalamika kukosa maji. Pia wananchi wasiokuwa na huduma ya maji ya DAWASA leo wamepata maji ya bwerere.Nchi imefunguka, mama anaupiga mwingi sana.
Kuna sehemu mtu umeishi miaka 6 maji hayajawhi kuingia,leo maji hadi yanafunika gariHalio sio...View attachment 2878229
Pa ni wapi?Halio sio...View attachment 2878229
Hii kitu ndio nimeona leo mtaani kwangu maji yametuama kitu ambacho sijawahi kuona toka nikae hapaKuna sehemu mtu umeishi miaka 6 maji hayajawhi kuingia,leo maji hadi yanafunika gari
Wako bize wakiandaa pongezi kwa Samia na CCM.Mtihani kwa serikali ya mkoa wa Dar es Salaam kuwa na viongozi wabunifu, badala ya kuwaza kuzuia maandamano ya tarehe 24 January 2024
View attachment 2878042
Picha : RC Albert Chalamila mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Kingo za mito na vijito vinaweza kabisa kuimarishwa na kuzuia majumba ya wakaazi wa Dar es Salaam kuanguka kutokana na maporomoko ya kingo za mito
Picha ikionesha kingo za mifereji, vijito ilivyoliwa jijini Dar es Salaam na kupelekea makalavati, madaraja kujaa mchanga View attachment 2878040
Wanafunzi wa kitivo cha uhandisi chuo kikuu tajwa kongwe UDSM kwa kushirikiana na halmashauri ya Ubungo TAMISEMI wangeweza kutumia kodi za wananchi vizuri na wanafunzi wa UDSM kujifunza kwa vitendo kujenga kuimarisha kingo za mifereji, vijito na mito ya maji hatimaye majina yao kuingia ktk rekodi kumbukizi tukuka kuwa elimu imewezesha kutatua changamoto katika jamii .
Picha chini toka maktaba ikionesha changamoto endelevu zinazolikabili jiji na pia mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2878039
Ninakushauri ujifungie ndani ya fiji au friza kama inakutosha, huwa hazizami.Huku inanyesha hadi mimi naogopa
Ndani nipo mwenyewe🥺
Maji hayapiti kwetu, naogopa tu radi..Ninakushauri ujifungie ndani ya fiji au friza kama inakutosha, huwa hazizami.
Pole nielekeze tu ni wapi nije nikuondolee uogaMaji hayapiti kwetu, naogopa tu radi..
Radi inahusika na vifo vichache kuliko mafuriko. Ni nadra kusikia mtu kafa kwa radi.Maji hayapiti kwetu, naogopa tu radi..
Hii la mvua litapita. Dar itabaki na unyama wake.Tuacheni utani bora makao makuu yabaki Dodoma sema wamechelewa kujenga ...Ukitumia akili Dar pale kati ni bondeni kabisa haswa jangwani hata ukiangalia barabara kwa huku magomeni unaona pale ni bondeni kabisa...
Dodoma huwezi kukuta huo ujinga wala mvua kubwa kiasi hiki..
Dar sehemu nyingi ni overrated haswa madalali eti wanauza viwanja bei juu huko Tegera na Madale ni hovyo kabisa
Ila cha moto mmekipata ,nakumbuk hapo mvua kidogo mambo kibao yanasimama kama foleni ya magari inakuwa kubwa mno.Hii la mvua litapita. Dar itabaki na unyama wake.
Hii mvua kali tu kiukweli tusije kulaumu saaana serikali.Kuna sehemu mtu umeishi miaka 6 maji hayajawhi kuingia,leo maji hadi yanafunika gari