Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Hapo tatizo. Leo Bolt na Uber ndio wanapiga hela. Biashara nyingine labda Lodge na restaurants. Ila Kariakoo Sinza Mwenge Daladala Boda Bars zote zimekaaIla cha moto mmekipata ,nakumbuk hapo mvua kidogo mambo kibao yanasimama kama foleni ya magari inakuwa kubwa mno.