Jaman kwann husemi nije mchumba wangu nikubariki na kumbatoHuku inanyesha hadi mimi naogopa
Ndani nipo mwenyewe🥺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman kwann husemi nije mchumba wangu nikubariki na kumbatoHuku inanyesha hadi mimi naogopa
Ndani nipo mwenyewe🥺
Mrembo, na wewe rekebisha hii sentensi ieleweke?Umk89na ulichokiandikqmpost ya kwanza? Nenda kajisome.
Nchi imefunguka, mama anaupiga mwingi sana.Yap TANESCO wamekata umeme Bunju! Nimeshangaa walichelewa nini!
Tuendelee kusherekea Uhuru, Mapinduzi na Muungano! Watu wapige hela mpaka zipigike!
Na kushambulia wanaotaka mabadiliko iwe KATIBA, SHERIA ZA UCHAGUZI, HAKI, UWAJIBIKAJI!
Tuwaone hawqpendi AMANI NA UPENDO Kwa viongozi wetu wa ChukuwaChakoMapema!
Sio mm mbeba tofari 🤣🤣🤣Yaani ephen_ akiamua kuwaomba mtume nauli leo anaondoka na 1m
Ila taunami sio mvua.. ni kimbunga cha baharini..!! Unaweza ukawa na jua kali mikoa ya pwani ila taunami ikapiga. Ni mawimbi makubwa yenye nguvu ambayo yanatembea kwa kasi mpaka kutoka kwenye kingo zake na kuvamia nchi kavu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee babuu kuwezaa?Kuelea hakutakusaidia cho chote mjukuu. Kitakachokuua ni mabati, mbao na makorokocho mengine yaliyomo humo kwenye maji. Liubao mchongoko likikukita kifuani na kutokeza upande wa pili hata kama unamzidi Michael Phelps katika uogeleaji ni kazi bure! Bado na electrocution kutoka kwenye nyaya zilizoanguka. Kimbia urudi Songea sasa hivi kama unaweza mjukuu! [emoji870]
Vikindu haipo Dar mkuu. Ipo mkoa wa Pwani. Hapa tunaongea kuhusu jiji la Chalamila. Sijui naye Chalamila kakwama wapi mpaka sasa hajatoa tamko lolote. Au amesombwa na mafuriko? Maana ofisi yake pia imejengwa kwenye mkondo wa maji. Anang'ang'ana na usafi kwa kutumia wanajeshi huku wapiga kura wakiendelea kuteswa na mafuriko. Mwezi wa 10 sio mbali; tutakutana kwenye sanduku la kura.sasa ndugu nabii hiyo mvua inanyesha au itanyesha usiku?
au ni katika ulimwengu wa Roho maana ndo naingia Misa ya kwanza na ni pakavu sana hapa vikindu 🐒
Ovyooo,hizi mvua mwaka 98 zilipiga zaidi ya hizi na huo ujimga unaoo gea wala haukuwepoKuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Ovyooo,hizi mvua mwaka 98 zilipiga zaidi ya hizi na huo ujimga unaoo gea wala haukuwepoKuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Hii mvua hata dodoma imepiga sana toka saa 6 usiku, radi zilikuwa za kutisha mnoPole sana mkuu. Afu mvua za zamani hapa Dar hazikuwa na radi kabisa. Sijui hizi radi hasa zilitoka wapi.
Mungu akufanyie wepesi mkuu.
Umejichanganya sana ,mvua imenyesha usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi,leo kiko shwariMvua imeanza kunyesha tangu usiku wa manane wa jumamosi hadi alfajili ya jumapili. Acha ubishi bi mkubwa. Mvua imeharubu madaraja na makazi ya raia na imeua raia.
Hii sio mvua ya jumamosi kuamkia jumapiliMvua huku Dar imesababisha maafa. Imesomba magari, nyumba na mali za raia na kubomoa madaraja. Serikali iingilie kati kurejesha mawasiliano ya barabara kwa kujenga madaraja ya muda.
Kuliko ile ya jana iliyobomoa madaraja na magari kusombwa??Ila hii inayonyesha leo ni nyingi sana mkuu
Nimepita kunduchi leo hakuna mvua ila jana ndio imeleta maafa makubwaKunduchi. Wewe upo Dar ya wapi mkuu?
Nimefurahi kukuona Madam siku nyng sanaUko wapi?
Saa hizi siyo usiku, tazama saa yako.