Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Kuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
... Nabii huyo amesema ili Dar isiangamizwe watu wafanyeje?
 
Kuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Namkumbuka alisema watu wahame kabla ya April
 
Raia waliojenga mabondeni wamezungukwa ma maji. Serikali inaombwa ipeleke helikopta kuwanasua.
Mkuu, samahani lakini, mtu anaamua mwenyewe kununua shamba la mpunga na kulibadilisha matumizi, akijenga mjengo wa mamilioni ya shillings halafu mvua zinaponyesha kama leo, maji yakafuata mkondo wake na kumuathiri....
Tuilaumu Serekali kweli kwenye hili? 😲
 
Bado mvua ni kubwaaa.....na inakuja zaidi.
IMG-20240121-WA0003(1).jpg


Zingatia: sio lazima utoke kama huna sababu ya lazima sana.

Pia kwa wenye magari madogo aka saluni ongeza umakini kukatiza mitaro ya maji.

Kama gari lako lina tatizo ya battery pia tulia maana likizima katikati ya mvua hakuna booster...ni ushauri tu.
 
Back
Top Bottom