Aisee hatari naja ila usishangae kusikia kitu kigumu kinapoke poke tako lako zuriNjoo nifundishie hapa ndani kwangu maana maji yapo usawa wa mabega mpaka sasa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hatari naja ila usishangae kusikia kitu kigumu kinapoke poke tako lako zuriNjoo nifundishie hapa ndani kwangu maana maji yapo usawa wa mabega mpaka sasa😂
Aisee hapa bolt inahusika ni kuimlort warembo tuu ghetto maana jtatu hamna kwenda kaziniBado mvua ni kubwaaa.....na inakuja zaidi.View attachment 2878070
Upo mikono salama sasaLocation nimekutumia PM, fanya uje uni rescue 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raia waliojenga mabondeni wamezungukwa ma maji. Serikali inaombwa ipeleke helikopta kuwanasua.
👏👏👏👏👏Hapa ni kusibiria mangi afungie duka tu nipate bapa ndogo kwanza nitoe wenge la mvua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikuwemo mkuu ila nasikia watu wakitoka uchi ndani ya gesti. Hahaha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna haja ya kujifunza kuogelea sasa, hii hali inaelekea kuwa ngumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo zangu moro mie nimetulia zangu. Huku mvua imepiga toka saa kumi alfajiri mpaka sasa ngoma inaendelea tuu. Wenye wake na mademu zao wanabingirika tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora yako! Mi sipikagi nanunua misos...nimetoka njeee mvua niliyoona bora nife njaaa kuliko nichat nikiwa juu ya maji napelekwa baharini
Tuma location nije kukuondoa woga, nitakuja na hii mvua hakuna jinsi.
Wee hebu sema kweli.Acha ipigeeee na ije mara 5 ya hapa
Ova
Ila taunami sio mvua.. ni kimbunga cha baharini..!! Unaweza ukawa na jua kali mikoa ya pwani ila taunami ikapiga. Ni mawimbi makubwa yenye nguvu ambayo yanatembea kwa kasi mpaka kutoka kwenye kingo zake na kuvamia nchi kavu...Kuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Njoo tupeane mautam jamani mwenzenu nafwaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] week ilopita niliitwa home nikasabahi, nikajifanya mjanja kubaki mjini, woiiiiihNjoo tupeane mautam jamani mwenzenu nafwaa
Kulekule kwa siku zote😄Tuma location nije kukuondoa woga, nitakuja na hii mvua hakuna jinsi.
Hata huku niliko. Unakatika unarudi, unakatika tena...na kwa jirani hapo naona kama maji yamebisha hodi sebuleni. Kazi ipo wallahi!Unakatika na kuwaka. Sidhani kama ndio utaratibu. Tangu nimepost umekatika na kurudi mara tatu,sasa hivi umekatika tena
Kuelea hakutakusaidia cho chote mjukuu. Kitakachokuua ni mabati, mbao na makorokocho mengine yenye ncha kali yaliyomo humo kwenye maji. Liubao mchongoko likikukita kifuani na kutokeza upande wa pili hata kama unamzidi Michael Phelps katika uogeleaji ni kazi bure! Bado na electrocution kutoka kwenye nyaya zilizoanguka. Kimbia urudi Songea sasa hivi kama unaweza mjukuu! 🖐[emoji23][emoji23][emoji23] week ilopita niliitwa home nikasabahi, nikajifanya mjanja kubaki mjini, woiiiiih
Leo naelea tyuuh hapa, uzuri mie kuogelea naweza wala sipati shida kupiga mbizi.
Mweeeeh
Acha tu, naona inapungua huku niliko tupumue kidogo. TMA wanasema hii ni mpaka mwezi wa pili mwishoniHata huku niliko. Unakatika unarudi, unakatika tena...na kwa jirani hapo naona kama maji yamebisha hodi sebuleni. Kazi ipo wallahi!
Shida tupu yaani. Huko Usukumani wanasema imetopesha mazao na hakuna kinachoendelea labda wale waliolima mpunga. Huenda mwaka kesho kukawa na njaa...Acha tu, naona inapungua huku niliko tupumue kidogo. TMA wanasema hii ni mpaka mwezi wa pili mwishoni