Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Nawe ukamwamini kabisa!!?
 
Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Kabisa kabisa
 
Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Kumbe bado mpo
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Mvua kubwa sana inanyesha mahali hapa sijapata kuona. Haki tangu nizaliwe sijawahi kushuhusia mvua kubwa kiasi hiki.

Srtikali ijiandae kukabiliana na adhari za mafuriko zitakazsababishwa na mafuriko haya kwani adri muda unavyoenda inazidi kuongezeka

Mara ya mwisho mvua iliponyesha ilingo'a madaraja na kuua watu watatu. Safari hii tujiandae kwa maafa zaidi.

Tuambie mahali ulipo hali ikoje na nini tutarajie baada ya mvua hii.

Nawasilisha.

UPDATES
Mawasiliano kati ya Tegeta na Kunduchi yamekatika baada ya daraja la Kunduchi-Mtongani kukatika. Magari, nyumba na mali za raia zimesombwa na maji. Nguzo za umeme zimeanguka na baadhi ya raia wamefariki. Tatizo watu wamejenga karibu na mto kwa kupewa vibalj na maofisa ardhi wa serikal.

Nitaendelea kuwapa updates na picha kadri nitakavyozipata.........
Mvua baraka. Shida ni wahusika kuendekeza ANASA MATUMBO YAO NA UROHO WA HELA ZA UMMA. Kwa mvua inayonyesha Tanzania ni kiasi kidogo sana. Kama wahusika wangekuwa wanawajibika sidhani kama ingetuathiri kiasi hiki!
ChukuwaChakoMapema waache ubinafsi, mbona tutapata maendeleo wakiacha WIZI!
Niko Bunju, inaporomoka, ka radi hapa na pale. Waliojenga kwenye viwanja rasmi wako poa, kazi wale wa kwenye squatters!
Daraja la kutenganisha Bagamoyo na Dar liko poa.
Ila haya maji yangevunwa yangetufaa sana wakati wa kiangazi!
Ila tutadai hela hatuna! Ila za sherehe, V8, masafari, posho, na ujinga gani sijuwi hatuelewi huwa zinapatikana kivipi?!
 
Mvua baraka. Shida ni wahusika kuendekeza ANASA MATUMBO YAO NA UROHO WA HELA ZA UMMA. Kwa mvua inayonyesha Tanzania ni kiasi kidogo sana. Kama wahusika wangekuwa wanawajibika sidhani kama ingetuathiri kiasi hiki!
ChukuwaChakoMapema waache ubinafsi, mbona tutapata maendeleo wakiacha WIZI!
Niko Bunju, inaporomoka, ka radi hapa na pale. Waliojenga kwenye viwanja rasmi wako poa, kazi wale wa kwenye squatters!
Daraja la kutenganisha Bagamoyo na Dar liko poa.
Ila haya maji yangevunwa yangetufaa sana wakati wa kiangazi!
Ila tutadai hela hatuna! Ila za sherehe, V8, masafari, posho, na ujinga gani sijuwi hatuelewi huwa zinapatikana kivipi?!
Asante kwa update mkuu. Endelea kutupa taarifa kuhusu kinachojiri huko ulipo.
 
Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
kijiografia na kitaalamu kwa kina cha bahari ya hindi na kwa jiografia ya jiji la dar es salaam hakuna siku ambayo tsunami itaikumbuka. rejea kwa huyo nabii wako na ukamwambie kuwa he's a damn fool sawa?
 
Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Anafanya kazi TMA sio?
 
Back
Top Bottom