Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo watu wamejenga karibu na mto kwa kupewa vibali na maofisa ardhi wa serikal.[emoji419][emoji375]Naingia kwenye mada moja kwa moja. Mvua kubwa sana inanyesha mahali hapa sijapata kuona. Haki tangu nizaliwe sijawahi kushuhudia mvua kubwa kiasi hiki.
Serikali ijiandae kukabiliana na adhari za mafuriko zitakazsababishwa na mvua hii kwani kadri muda unavyoenda mvua inazidi kuongezeka
Mara ya mwisho mvua iliponyesha ilingo'a madaraja na kuua watu watatu. Safari hii tujiandae kwa maafa zaidi.
Tuambie mahali ulipo hali ikoje na nini tutarajie baada ya mvua hii.
Nawasilisha.
UPDATES
Mawasiliano kati ya Tegeta na Kunduchi yamekatika baada ya daraja la Kunduchi-Mtongani kukatika. Magari, nyumba na mali za raia zimesombwa na maji. Nguzo za umeme zimeanguka na baadhi ya raia wamefariki. Tatizo watu wamejenga karibu na mto kwa kupewa vibali na maofisa ardhi wa serikal.
Hadi sasa mvua inaendelea kunyesha baadhi ya maeneo hapa Dar. Serikali itoe tahadhari kwa wananchi na ichukue hatua kukabiliana na mafuriko.
Nitaendelea kuwapa updates na picha kadri nitakavyozipata.........
Nabii wa mchongo [emoji3]Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
subir itakufikia mimi , huku imeanza full radi kama niko Kampalasasa ndugu nabii hiyo mvua inanyesha au itanyesha usiku?
au ni katika ulimwengu wa Roho maana ndo naingia Misa ya kwanza na ni pakavu sana hapa vikindu [emoji205]
Si ni makazi tayari, lazima wapelekewe, ama kuna sheria ya kutopeleka maji na umeme mabondeni?Cha ajabu wapigakura hao hupelekewa huduma zote za jamii......umeme, barabara, huduma za afya, shule, maji, n.k
Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
ushapanik hahahaaaaNimekwambia kafanye editing post namba moja, unanambia ubishi, sasa mbishi mimi au wewe?
Umk89na ulichokiandikqmpost ya kwanza? Nenda kajisome.
Punguani wahed.
Huyo nabii mchumiatumbo kweli. Hahaha!Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Kwahiyo unaongelea habari ya Kuamkia Jumamosi sio? Au imepiga tena kali zaidi?Kunduchi. Wewe upo Dar ya wapi mkuu?
Huku inanyesha hadi mimi naogopaHuku kwetu naona imetuhurumia leo, japo nje kumenuna sana.
hata USA kabla ya 1800 hakukuwai kuwa na Tsunami , hali ya nchi ubadilika miaka hadi miakakijiografia na kitaalamu kwa kina cha bahari ya hindi na kwa jiografia ya jiji la dar es salaam hakuna siku ambayo tsunami itaikumbuka. rejea kwa huyo nabii wako na ukamwambie kuwa he's a damn fool sawa?
mimi niko Arusha, nmeenda kanisani na nmeshamaliza ibada na nimerudi home bado pakavu, kuna wingu zito na baridi tuuHata wewe hujasema uko wapi mkuu ambako hakuna mvua.
Mimi muda huu nipo Kinyerezi naelekea City center ila kuna mvua kubwa imeanza kunyesha muda huu.