Nawe ukamwamini kabisa!!?Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Kabisa kabisaKuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Yuko mbweni 😄Uko wapi?
Saa hizi siyo usiku, tazama saa yako.
Kumbe bado mpoKuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Anaandika akiwa juu ya majiMkuu hebu kaa chini kwanza uandike vyema tukuelewe.
Mvua baraka. Shida ni wahusika kuendekeza ANASA MATUMBO YAO NA UROHO WA HELA ZA UMMA. Kwa mvua inayonyesha Tanzania ni kiasi kidogo sana. Kama wahusika wangekuwa wanawajibika sidhani kama ingetuathiri kiasi hiki!Naingia kwenye mada moja kwa moja. Mvua kubwa sana inanyesha mahali hapa sijapata kuona. Haki tangu nizaliwe sijawahi kushuhusia mvua kubwa kiasi hiki.
Srtikali ijiandae kukabiliana na adhari za mafuriko zitakazsababishwa na mafuriko haya kwani adri muda unavyoenda inazidi kuongezeka
Mara ya mwisho mvua iliponyesha ilingo'a madaraja na kuua watu watatu. Safari hii tujiandae kwa maafa zaidi.
Tuambie mahali ulipo hali ikoje na nini tutarajie baada ya mvua hii.
Nawasilisha.
UPDATES
Mawasiliano kati ya Tegeta na Kunduchi yamekatika baada ya daraja la Kunduchi-Mtongani kukatika. Magari, nyumba na mali za raia zimesombwa na maji. Nguzo za umeme zimeanguka na baadhi ya raia wamefariki. Tatizo watu wamejenga karibu na mto kwa kupewa vibalj na maofisa ardhi wa serikal.
Nitaendelea kuwapa updates na picha kadri nitakavyozipata.........
Bibi anza ku edit hii comment yako kwanza.... kwani huko shuleni mnasomea ujinga?Nimekwambia kafanye editing post namba moja, unanambia ubishi, sasa mbishi mimi au wewe?
Umk89na ulichokiandikqmpost ya kwanza? Nenda kajisome.
Punguani wahed.
Asante kwa update mkuu. Endelea kutupa taarifa kuhusu kinachojiri huko ulipo.Mvua baraka. Shida ni wahusika kuendekeza ANASA MATUMBO YAO NA UROHO WA HELA ZA UMMA. Kwa mvua inayonyesha Tanzania ni kiasi kidogo sana. Kama wahusika wangekuwa wanawajibika sidhani kama ingetuathiri kiasi hiki!
ChukuwaChakoMapema waache ubinafsi, mbona tutapata maendeleo wakiacha WIZI!
Niko Bunju, inaporomoka, ka radi hapa na pale. Waliojenga kwenye viwanja rasmi wako poa, kazi wale wa kwenye squatters!
Daraja la kutenganisha Bagamoyo na Dar liko poa.
Ila haya maji yangevunwa yangetufaa sana wakati wa kiangazi!
Ila tutadai hela hatuna! Ila za sherehe, V8, masafari, posho, na ujinga gani sijuwi hatuelewi huwa zinapatikana kivipi?!
Sio sahihi kuwapa lawama maafisa. Walaumu watu waliojenga kando ya mito. Kwa hili huhitaji afisa akunyime kibali ndio ujue ni hatari kujenga kando ya mitoUPDATES
. Tatizo watu wamejenga karibu na mto kwa kupewa vibalj na maofisa ardhi wa serikal.
kijiografia na kitaalamu kwa kina cha bahari ya hindi na kwa jiografia ya jiji la dar es salaam hakuna siku ambayo tsunami itaikumbuka. rejea kwa huyo nabii wako na ukamwambie kuwa he's a damn fool sawa?Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Anafanya kazi TMA sio?Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Wapi huko, si useme, maana wote tupo Dar ila mvua kubwa unaiona peke yako, sema ni wapi?Ila hii inayonyesha leo ni nyingi sana mkuu
Cha ajabu wapigakura hao hupelekewa huduma zote za jamii......umeme, barabara, huduma za afya, shule, maji, n.kSio sahihi kuwapa lawama maafisa. Walaumu watu waliojenga kando ya mito. Kwa hili huhitaji afisa akunyime kibali ndio ujue ni hatari kujenga kando ya mito