Kuwa hiyo Mkuu Salary Slip unahafiki Jeshi la Polisi kufanzia kazi taarifa/tetesi za mitandaoni?Nimeona hii habari nikabaki nashangaa.
Kupitia twitter,mtu anaejiita Martini M.M kapost hii habari tangu saa 11:28 alfajiri ya leo ila nashangaa sijui watu hawakuiona hii tweet maana reaction ni kama haikuwepo kabisa jambo linaloshangaza sana.
Hivi sasa inaonekane ame-post tena kama dakika 29 hivi zilizopita ila ukiifungua hiyo tweet inaonekana ni ya leo saa 11:28 alfajiri.
Anyway,labda tatizo ni mfumo wa masaa unaotumika ndio unaleta huu mkanganyiko.
Kwani wewe uko msumbiji?Waandishi Tunashukuru kwa kutupatia taarifa siku zote,lakini kuna baadhi ya taarifa mnazitoa kwa Mihemuko mikubwa sana, unapotoa taarifa ukihusisha serikali na utekaji unakuwa uko sahihi kweli? au unatoa taarifa ukihusisha na jambo lililopita huo ndio ushahidi kweli? Tatizo kubwa ni waandishi Mmejihusisha sana na siasa ndio maana makala zenu inakuwa ngumu Kuzichukulia maanani, umewahi kujiuliza serikali iteke raia wake kwa sababu zipi wakati huo inaweza Kumuita au Kumkamata raia yeyote kama kafanya kosa? tunaweza kuwa na aina mpya ya ugaidi au uharamia nchini ,badala ya kujadili swala hili kwa kina kwa nini linatokea hili swala mara kwa mara , kwa nini wakati huu, nini madhara yake kijamii na kiuchumi ,serikali ifanye nini, sisi Tunakimbilia kusema ni fulani au serikali, gues work will not take us any where, tujadili suala hili kwa kina bila kuvaa koti la uanaharakati au Wanasiasa.
Nchi ina amani mno. Machafuko yako Libya. Na wala hatutafikia hali hiyo relax.Kama nchi imemshinda jiwe ajiuzulu tu. Hatutaki upuuzi wake wa kutulazimishia machafuko anaotuletea.
Wafalme wa Israel walitoa roho za watu wakarudi kuomba mbele za Mungu.Cha ajabu Jiwe huwa anaenda nyumba za ibada na kushauri aombewe..
ukienda kijijini watakushangaa mno. Kwani wao wanaishi kwa amani. Anayekamatwa ni anayetukana mamlaka iliyowekwa na MunguDadeki,,,enough is enough aiseee,,
Hii nchi sasa dah....
JPM amechaguliwa kihalali . Kama una ubavu toka nyuma ya keyboard upinge nenda hata mahakamani basi. Tunampenda raisi wetuTulisema kuanzia mwanzo kabisa baada ya kulazimisha ushindi,kwamba kwa Magufuli huyu na chama chake,genge la maharamia linaenda kuweka mizizi.
Watanzania wakati tukiendelea kupiga kelele wengine walisema haya ni ya wapinzani hayatuhusu,vyombo vya habari vikaandamwa tukasema Mimi sio mwandishi....hali hii imeendelea kumgusa kila mwananchi...
Solution: Tukatae kwa pamoja hususan tusionufaika na genge hili la Maharamia,tuitumie falsafa ya nguvu na mamlaka yanatokana na umma.
Tukichelewa JPM atazidi kujiimarisha na kumuondoa itakuwa ngumu na itatigharimu zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika kwa Lugha ya hoja na si matusi. Kwa nini kutukana kudhalilisha na kuvunja heshima ya mtu. Pinga kwa hoja utaelewekaKutekana tena kwa wale wanaoandika usiyoyapenda wewe ni ushamba na upumbavu. Haya mambo ya kijima sana
Hata ungekuwa wewe ungezuia watu wanaokusema kwa uzushi na matusi?Shida ni kwamba mzee baba hakemei chochote ndio maana tunaona Ni anawatuma
Roho ya shetani wewe ni shetani halisiHata ungekuwa wewe ungezuia watu wanaokusema kwa uzushi na matusi?
Kama upo kwenye gari yako binafsi na umeona NISSAN NYEUPE ...zinaweka roadblock ...na unajua real situation kwamba hawa ni wale unkown person lazima tu wanataka kufanya kidnapping ... muda huo unajua uliwahi kufuatiliwa huko nyuma kwa nini usifanye mawasiliano na mtu wako wa karibu...kwa kuhofia usalama wako..Hivi inawezekana vipi atekwe halafu haohao watekaji wamruhusu mateka wao afanye mawasiliano na mke wake.