Kesaboso
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 426
- 358
Mtu anatekwa kisha anapata muda wa kumjulisha mke au ndugu kuwa katekwa na sababu anatoa, sasa hapo anakuwa katekwa au kajiteka, mtekaji anayekuruhusu ufanye mawasiliano huyo ni mtekani au mshikaji tu? Tuwe serious basi, hiyo itakuwa ni movie ya van dame.