careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Doh! Kitumbua kimeingia mchanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali fikirishi sana.....Huyo binti hana staha kabisa angekuwa ni ndugu yake angekubali picha yake irushwe mtandaoni au Kama watu wanavyosema Bana yake aliliwa ndogo je wangempa hizo picha angerusha.kwenye uandishi kuna miiko ya kutoa picha public.
Kwanza mtu unawezaje kusimama mahali ukajitambulisha kuwa wewe ni mfanyakazi wa Mange! 🤣Mama anaupiga mwingi .Safi kabisa
Kwanza mtu unawezaje kusimama mahali ukajitambulisha kuwa wewe ni mfanyakazi wa Mange! 🤣
Aulizwe tu kwanini hakupost video ya ICU ya Dr.Mwele ambaye ni mama yake wa kufikia??Swali fikirishi sana.....
Ila vijana wanaoumia sasa ni kama hawana hatia.
Watu wakisikia jina la muajiri wako ni mange lazima wakukwepe 😂Eti bana,aibu sana,mfanyakazi wa kusaka udaku😂😂😂
Ajira kakaWatu wakisikia jina la muajiri wako ni mange lazima wakukwepe 😂
Na hujiulizi tu kwanini muajiri wako anakupa kazi ambayo yeye hawezi kuifanya akiwa hapa TZ !Ajira kaka
Au ile video ya baba yake pale hotelini kwao!Aulizwe tu kwanini hakupost video ya ICU ya Dr.Mwele ambaye ni mama yake wa kufikia??
Kumbe na wewe umeona kama mimi [emoji23][emoji23]Hii English vipi?
Hivi ni kweli yule mzee walimvunjia yai?Au ile video ya baba yake pale hotelini kwao!