Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Kwani yeye anasemaje?
Bado anaongea kwa jeuri kubwa. Hadi sasa hajaona kama ni kosa kumdhalilisha Profesa Jay kupitia ofisi yake iliyopo Kinondoni.

Anawaambia polisi hangaikeni na hao wafanyakazi wake makapukuni waliopo Tanzania lakini yeye amekunja 4 huko US ambapo hawatakaa wamfikie.

Huyu anatakiwa ifanyike utaratibu wa repatriation kurudisdhwa Tanzania ambapo kampuni yake imetenda uhalifu ili aje ajibu mashitaka, haiwezekani unaishi US, huenda ni raia wa US lakini unaendesha biashara ya kihalifu nchi nyingine.

Tena anatamba ati hawezi kudisclose source yake simply because huwa anadelete conversations?

Real? No. Not at all. Nchi haiwezi kwenda namna hii
 
Ofisi za Mange zilizopo Kinondoni jijini Dar zimevamiwa na wafanyakazi wake kukamatwa.

Kweli kujipendekeza hakulipi.

Niliumia sana kuona anamdhalilisha prof J. Hivyo hii ni furaha kwangu.

Prof Jay Mungu aendelee kukupigania.

========
Mange kaandika:

Yes, mlichosikia ni kweli kabisa.
ofisi nzima watu zaidi ya 10 wako central toka jana asubuhi.

Nna mengi ya kusema, yani nataka kuharisha haswa ila sasa inabidi nitumie akili.

Wamefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya mitandao kutokana na ile clip ya Professor Jay. Wanataka kujua nani alienipa ile clip. Tatizo ni kwamba hao wafanyakazi hata wawachape viboko hakuna hata mmoja wao ataewapa jibu. Hata wawaeke ndani mwaka hakuna wa kuwapa jibu maana hawajuiiii. Mimi peke yangu ndo nina uwezo wa kuwaambia clip imetokea wapi ila mimi huwa nafuta chats zangu soon as nikifanyia kazi kuepusha sources zangu kujulikana iwapo ntapoteza simu

It’s seems wanawashikilia wafanyakazi wangu kama kunikomesha mimi, ila tatizo ni kwamba mimi niko marekani nimeweka nne wanaokoma ni watoto wadogo, watoto ambao hawana hata impact yoyote na app, hao watoto wako ndani toka jana asubuhi na Mange Kimambi App onaendelea kama kawaida kilichokuwa affected kwenye App ni hard news na sports. Mpaka hapo ilibidi wajue wamewashikilia innocent people.

So it seems wanataka mimi niwaambie nani kanitumia ile clip ndo hii kesi iishe ili waweze kudili na huyo mtu. Tatizo ni moja.

1. Siwezi kumjua huyo mtu maana nilishadelete chats zetu.

2. Hata ningekuwa sijadelete chat bado nisingetaja nani kaniambia. Yani hata waifunge App , siwezi kusema sources zangu, nini kuwakamata wafanyakazi, hata nifanywe nini nisingemtaja aliesema. Bora nife kuliko kusema nani ndo aliniambia nini. Yani niko tayari app ifungwe nirudi kuwa jobless ila siwezi kumwaribia mtu mwingine maisha yake kwa kumtaja ili nijiokoea mimi. I ain’t no snitch!!

3. Na hao Muhimbili wanajipa headache bure wafanyakazi wao wamuhimbili wako innocent. Sikutumiwa ile clip na nurse, wala doctor wala mfanyakazi.

Polisi Kesi ya vijana wangu ina dhamana ila toka jana mnawanyima dhamana why??? Dhamana ni haki yao. Tanzania tulishapita hiyo stage ya kufanyia ubabe na kwenda kinyume na sheria. Wapeni vijana haki yao ya dhamana.Yani ni hivi hao vijana wangu hata muwabane pumbu na spana hakuna atakaewaambia chochote, coz HAWAJUIIII!!
Mange bwana eti ata afanywe nini hatasema waliompa….wenye uelewa wao wanamsubiria tu wamdake waone jinsi anavotapika utumbo wote
 
Bado anaongea kwa jeuri kubwa. Hadi sasa hajaona kama ni kosa kumdhalilisha Profesa Jay kupitia ofisi yake iliyopo Kinondoni. Anawaambia polisi hangaikeni na hao wafanyakazi wake makapukuni waliopo Tanzania lakini yeye amekunja 4 huko US ambapo hawatakaa wamfikie.
Huyu anatakiwa ifanyike utaratibu wa repatriation kurudisdhwa Tanzania ambapo kampuni yake imetenda uhalifu ili aje ajibu mashitaka, haiwezekani unaishi US, huenda ni raia wa US lakini unaendesha biashara ya kihalifu nchi nyingine.
Tena anatamba ati hawezi kudisclose source yake simply because huwa anadelete conversations? Real? No. Not at all. Nchi haiwezi kwenda namna hii
Kuna mahali nilisema huyu siyo mtu wa kumchekea!
 
Kuna mahali nilisema huyu siyo mtu wa kumchekea!
Kabisa bwashe........kichwa chake inaonekana ni box tupu, innate zake zishakufa siku nyingi, haiwezekani mtu uonage
uhalifu ni jambo la kawaida, tena uone uhalifu ni pride hadi useme 'nimekunja 4 US'.

Daah! Sasa Hawa madogo ambao wameajiriwa kwa siri kwenye kampuni ya kihalifu wanatakiwa waadhibiwe vikali ili wajue na jamii ijifunze kuwa kuna na connection na mhalifu kwa namna yoyote ile ni kosa hata kama wao hawajahusika moja Kwa moja.
 
Ofisi za Mange zilizopo Kinondoni jijini Dar zimevamiwa na wafanyakazi wake kukamatwa.

Kweli kujipendekeza hakulipi.

Niliumia sana kuona anamdhalilisha prof J. Hivyo hii ni furaha kwangu.

Prof Jay Mungu aendelee kukupigania.

========
Mange kaandika:

Yes, mlichosikia ni kweli kabisa.
ofisi nzima watu zaidi ya 10 wako central toka jana asubuhi.

Nna mengi ya kusema, yani nataka kuharisha haswa ila sasa inabidi nitumie akili.

Wamefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya mitandao kutokana na ile clip ya Professor Jay. Wanataka kujua nani alienipa ile clip. Tatizo ni kwamba hao wafanyakazi hata wawachape viboko hakuna hata mmoja wao ataewapa jibu. Hata wawaeke ndani mwaka hakuna wa kuwapa jibu maana hawajuiiii. Mimi peke yangu ndo nina uwezo wa kuwaambia clip imetokea wapi ila mimi huwa nafuta chats zangu soon as nikifanyia kazi kuepusha sources zangu kujulikana iwapo ntapoteza simu

It’s seems wanawashikilia wafanyakazi wangu kama kunikomesha mimi, ila tatizo ni kwamba mimi niko marekani nimeweka nne wanaokoma ni watoto wadogo, watoto ambao hawana hata impact yoyote na app, hao watoto wako ndani toka jana asubuhi na Mange Kimambi App onaendelea kama kawaida kilichokuwa affected kwenye App ni hard news na sports. Mpaka hapo ilibidi wajue wamewashikilia innocent people.

So it seems wanataka mimi niwaambie nani kanitumia ile clip ndo hii kesi iishe ili waweze kudili na huyo mtu. Tatizo ni moja.

1. Siwezi kumjua huyo mtu maana nilishadelete chats zetu.

2. Hata ningekuwa sijadelete chat bado nisingetaja nani kaniambia. Yani hata waifunge App , siwezi kusema sources zangu, nini kuwakamata wafanyakazi, hata nifanywe nini nisingemtaja aliesema. Bora nife kuliko kusema nani ndo aliniambia nini. Yani niko tayari app ifungwe nirudi kuwa jobless ila siwezi kumwaribia mtu mwingine maisha yake kwa kumtaja ili nijiokoea mimi. I ain’t no snitch!!

3. Na hao Muhimbili wanajipa headache bure wafanyakazi wao wamuhimbili wako innocent. Sikutumiwa ile clip na nurse, wala doctor wala mfanyakazi.

Polisi Kesi ya vijana wangu ina dhamana ila toka jana mnawanyima dhamana why??? Dhamana ni haki yao. Tanzania tulishapita hiyo stage ya kufanyia ubabe na kwenda kinyume na sheria. Wapeni vijana haki yao ya dhamana.Yani ni hivi hao vijana wangu hata muwabane pumbu na spana hakuna atakaewaambia chochote, coz HAWAJUIIII!!
Usijifanye ngunguri wewe.. hujaingia 18 zao wakutoe inya ndio utawaheshimu.
 
Mbona mange anapicha nyingi tu swahiba imeshindikanaje kushibisha uzi?

Haujautendea haki
 
Back
Top Bottom