Leo hii?Kwanza mtu unawezaje kusimama mahali ukajitambulisha kuwa wewe ni mfanyakazi wa Mange! [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Picha tafadhali sana maana habari yenyewe umeileta Kama unakimbizwa na hao wafanyakazi wa Mange
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ofisi za kiwanda cha umbea
"eti hata wabanwe vp hawatosema kitu"
Huyu anajifanya kama hawezekani
Ova
Yeah ni shida ya ajira my dear yeyote angeweza kuwa victim hasa miaka hii ambapo madogo wamesota kitaa for years na wengine wakajiongeza kujifunza graphics ili wajipachike sehemu.Heeee yaani mange amewaingiza watoto zetu mkenge.
Jamani si wanajua mange ni mafya, hii shida ya ajira tu masikini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza mtu unawezaje kusimama mahali ukajitambulisha kuwa wewe ni mfanyakazi wa Mange! [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wakisikia jina la muajiri wako ni mange lazima wakukwepe [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hujiulizi tu kwanini muajiri wako anakupa kazi ambayo yeye hawezi kuifanya akiwa hapa TZ !
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo hii?
Ni jini lenu mlililea lile na bado litawanyea sana kama lile lingine kule twitter
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Baba yake alibakwa na watu 11, akaamua kujipiga risasi.Hivi ni kweli yule mzee walimvunjia yai?
Maana lemutuz alikua anamjazibisha sana kwa kumuambia kuhusu hili tukio la baba yake.
Mm ninyonye ule mtindiMange maiti yake inafaa kukojolewa hadharani... Ni jambo la muda, she's on target
Hiyo ndiyo dawa ya wadhalilishaji na wazushiWabongo bhana kwa hiyo kisa alimpost prof jay inahalalisha ofisi zake kuvamiwa
Two wrongs doesn't make right
Hii English vipi?
Mzee huyu mwanamke nimemdharau sana, ni limbukeni sana.Bado anaongea kwa jeuri kubwa. Hadi sasa hajaona kama ni kosa kumdhalilisha Profesa Jay kupitia ofisi yake iliyopo Kinondoni. Anawaambia polisi hangaikeni na hao wafanyakazi wake makapukuni waliopo Tanzania lakini yeye amekunja 4 huko US ambapo hawatakaa wamfikie.
Huyu anatakiwa ifanyike utaratibu wa repatriation kurudisdhwa Tanzania ambapo kampuni yake imetenda uhalifu ili aje ajibu mashitaka, haiwezekani unaishi US, huenda ni raia wa US lakini unaendesha biashara ya kihalifu nchi nyingine.
Tena anatamba ati hawezi kudisclose source yake simply because huwa anadelete conversations? Real? No. Not at all. Nchi haiwezi kwenda namna hii