Dar: Polisi wakamata watu 32 kwa wizi wa Bil 2.082, ndani ya benki ya NMB

Hali mbaya posho hawapewi vyeo hawapandishwi mshahara wanacheleweshewa wataacha kuiba?subirini awamu ya pili muone hadi mabom nayo yataanza kuibiwa kabisa
 
 
Hawa wezi wasipewe adhabu kali kwa kuwa wameiba bali wapewe adhabu kali kwa kuiba kwa uzembe! Wapigwe kipigo cha mbwa koko
 
Hawakutumia akili kujificha. Wanakimbilia kununua mali bila kujipanga namna ya kuzima swala.
 
Watu tunashida na pesa wao wanafanya mchezo mchezo kwani wanapitiaga wapi? Ngoja wakalime huko mpaka wakome wajinga sana hao watu
 
[emoji23][emoji23] umasikini kitu kibaya sana
 
Security Company za Bongo ni aibu tupu, pesa inatunzwa kwenye trunker kama ya wanafunzi ?? Bora hawa Gardaworld Wazungu wamekuja wawasaidie hawa wahi ndi bahili kwenye security.
 
Aisee hizi kampuni za ulinzi now zinapoteza Credibility kabisa
Unalimpa mtu 200,000 mshahara alafu huyo Huyo unambebesha fedha mabilion asafirishe, kama mtu una tamaa utaingia kingi

Ova
 
Labda kumbukumbu zangu haziko sawa... Ni lini kumekuwa na maandamo halali yanayo mwambia ukweli YESU!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…